Hatimaye Trump kuiangalia sheria ya talaka ambayo imekuwa ikiwatesa wanaume

Hatimaye Trump kuiangalia sheria ya talaka ambayo imekuwa ikiwatesa wanaume

Manyanza

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
16,464
Reaction score
35,629
"Kwa sababu tu unaolewa na mtu tajiri haimaanishi kwamba unapaswa kupata nusu ya mali yake na hatimaye kuwa tajiri baada ya talaka.

"Talaka imekuwa ni biashara yenye faida kubwa kwa wanawake nchini Marekani na nitaikomesha. Ikiwa mwanamke ataolewa na mwanamume tajiri, haimaanishi kwamba ataondoka kama mwanamke tajiri baada ya talaka. Ikiwa baada ya talaka mwanamke anahitaji pesa, mwanamume anaweza kumuazima kiwango cha juu cha $1-milioni ikiwa ana dhamana. $1-milioni sio pesa nyingi kwa tajiri lakini inapaswa kuwa nyingi kwa mwanamke kwa sababu hakuifanyia kazi.

Ikiwa nina thamani ya $50-milioni, sitakupa $25-milioni baada ya talaka. Ni pesa yangu na niliifanyia kazi kwa bidii sana. Sijali kama tumeoana kwa miaka 6 au hata miaka 25 au hata tuna watoto. Ikiwa huna pesa za kutosha kuwatunza watoto wetu, niachie mimi. Nafikiri kwamba kwa sababu tu mtu fulani anaoa mtu ambaye alijenga kitu kikubwa, haimaanishi kwamba kwa sababu tu anapata talaka, wanapaswa kuishia kama Malkia wa Sheba." ~
 
"Kwa sababu tu unaolewa na mtu tajiri haimaanishi kwamba unapaswa kupata nusu ya mali yake na hatimaye kuwa tajiri baada ya talaka.

"Talaka imekuwa ni biashara yenye faida kubwa kwa wanawake nchini Marekani na nitaikomesha. Ikiwa mwanamke ataolewa na mwanamume tajiri, haimaanishi kwamba ataondoka kama mwanamke tajiri baada ya talaka. Ikiwa baada ya talaka mwanamke anahitaji pesa, mwanamume anaweza kumuazima kiwango cha juu cha $1-milioni ikiwa ana dhamana. $1-milioni sio pesa nyingi kwa tajiri lakini inapaswa kuwa nyingi kwa mwanamke kwa sababu hakuifanyia kazi.

Ikiwa nina thamani ya $50-milioni, sitakupa $25-milioni baada ya talaka. Ni pesa yangu na niliifanyia kazi kwa bidii sana. Sijali kama tumeoana kwa miaka 6 au hata miaka 25 au hata tuna watoto. Ikiwa huna pesa za kutosha kuwatunza watoto wetu, niachie mimi. Nafikiri kwamba kwa sababu tu mtu fulani anaoa mtu ambaye alijenga kitu kikubwa, haimaanishi kwamba kwa sababu tu anapata talaka, wanapaswa kuishia kama Malkia wa Sheba." ~
Nakubali nikiwa na akili zangu timamu. Aliye ianzisha alaaniwe mara 1000
 
Ni sheria inayowakandamiza wanaume kwa kuwafanyia dhuluma ya waziwazi na kwa bahati mbaya watawala wa Kiafrika wamei copy kama ilivyo na kuileta huku Afrika.
Kwa kweli ni jambo linalotia uchungu sana unakuta mtu kaukoteza jimalaya huko mtaani bila kujua kesho na keshokutwa linaanza visa ili lipewe Talaka kisha linakimbilia mahakamani likidai mgao wa nusu kwa nusu na kumuachia umasikini mwanaume na watoto wake,kwa kweli inatia hasira sana.
 
Na hapa Tanzania ujinga kama huu ulitaka kuanza lakini kwa sababu Trump kaliona huko kwao na anataka kulishughulikia basi na huku lifakufa kabisa
Yeah mwanamke anakuja na bag limejaa chupi tupu halafu anakaa mwaka na unusu tu na kuondoka akiwa tajri Kuna kiswahili kinatumika Mali tulizo chuma aseee Huwa kina nikera sana.
 
Safi sana Trump,maana kuna watu matajiri wengi sana tu kule Marekani wanaogopa kuoa kwa kuogopa hii sheria kandamizi,nadhani hata hivi ni baadhi ya vigezo vilivyosababisha Kamala Harris kushindwa uchaguzi,maana wamejua huyu tukimpa uraisi atatumaliza wanaume bila huruma...
 
Safi sana Trump,maana kuna watu matajiri wengi sana tu kule Marekani wanaogopa kuoa kwa kuogopa hii sheria kandamizi,nadhani hata hivi ni baadhi ya vigezo vilivyosababisha Kamala Harris kushindwa uchaguzi,maana wamejua huyu tukimpa uraisi atatumaliza wanaume bila huruma...
Kabisa wamefanya la maana sana kutokumpa kamala uraisi
 
Hapo atakua amegusa kilio cha wanaume wengi sana wa America wanaoteseka na kusita kufanya maamuzi ya kuachana!
Jana nilikuwa nasoma article mbalimbali zinazomzungumzia makamu wake wa raisi JD Vance hao republican lengo lao hasa ni kurudisha asili ya familia kukaa pamoja,wanasisitiza bora kurudi zama za 1700s huko ili kuwe na uzao unaoeleweka na kuheshimika.

Democratic inatuhumiwa kufifisha uzao kwa kuruhusu mambo ya hovyo kama ndoa za jinsia moja na mijadala ya wazi kutoka kwa wanawake wasio na watoto kuwajaza ujinga wenzao kwamba maisha hayana umuhimu wa watoto.
 
Back
Top Bottom