mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Itakuwa kuna muda ni haki kugawana mali na mwanamke mfano kama mmetafuta wote...Halafu hivi ni mpumbavu gani alithubutu kusaini sheria ya hovyo kiasi hiki?
Hapo utagundua kumbe hata hao wazungu wenyewe kuna ambao akili zao vichwani hazimo vizuri.
nani mwingine kama sio antipasNina imani Tundu Lissu ataleta mabadiliko haya kwenye nchi yetu pia.
Umeanae yaani kwa sheria kama hiyo wazee wanawezaje kutushaur vijana kuoa?Sheria za kifala fala.
Alafu vijana wa kiume wasipo oa Wana anza kuandamwa kuwa ni mashoga.
Wazee wenyewe ni mazezeta, wanatunga Sheria za kipumbavu.Umeanae yaani kwa sheria kama hiyo wazee wanawezaje kutushaur vijana kuoa?
Kwani wanaoteswa na hiyo sheria ni wamarekani pekee? Hata Bongo si ni hivyo hivyo"Kwa sababu tu unaolewa na mtu tajiri haimaanishi kwamba unapaswa kupata nusu ya mali yake na hatimaye kuwa tajiri baada ya talaka.
"Talaka imekuwa ni biashara yenye faida kubwa kwa wanawake nchini Marekani na nitaikomesha. Ikiwa mwanamke ataolewa na mwanamume tajiri, haimaanishi kwamba ataondoka kama mwanamke tajiri baada ya talaka. Ikiwa baada ya talaka mwanamke anahitaji pesa, mwanamume anaweza kumuazima kiwango cha juu cha $1-milioni ikiwa ana dhamana. $1-milioni sio pesa nyingi kwa tajiri lakini inapaswa kuwa nyingi kwa mwanamke kwa sababu hakuifanyia kazi.
Ikiwa nina thamani ya $50-milioni, sitakupa $25-milioni baada ya talaka. Ni pesa yangu na niliifanyia kazi kwa bidii sana. Sijali kama tumeoana kwa miaka 6 au hata miaka 25 au hata tuna watoto. Ikiwa huna pesa za kutosha kuwatunza watoto wetu, niachie mimi. Nafikiri kwamba kwa sababu tu mtu fulani anaoa mtu ambaye alijenga kitu kikubwa, haimaanishi kwamba kwa sababu tu anapata talaka, wanapaswa kuishia kama Malkia wa Sheba." ~
HUyu bwana ukiachana na upuuzi wake ila ana mawazo na maamuzi chanya! Ikiwa kabla ya kuoana kila mmoja alikuwa na mali yake basi sheria itambue mali hizo si mali za ubia na kwamba mali itakayokua ya pamoja ni ile iliyopatikana baada ya kuoana. Pia sababu za kudai talaka ikiwa hazina mashiko basi mdai talaka ndiye anapaswa kutoa sehemu ya mali yake isiyo jumuishi ili kuchangia uchakavu kwa mdaiwa talaka."Kwa sababu tu unaolewa na mtu tajiri haimaanishi kwamba unapaswa kupata nusu ya mali yake na hatimaye kuwa tajiri baada ya talaka.
"Talaka imekuwa ni biashara yenye faida kubwa kwa wanawake nchini Marekani na nitaikomesha. Ikiwa mwanamke ataolewa na mwanamume tajiri, haimaanishi kwamba ataondoka kama mwanamke tajiri baada ya talaka. Ikiwa baada ya talaka mwanamke anahitaji pesa, mwanamume anaweza kumuazima kiwango cha juu cha $1-milioni ikiwa ana dhamana. $1-milioni sio pesa nyingi kwa tajiri lakini inapaswa kuwa nyingi kwa mwanamke kwa sababu hakuifanyia kazi.
Ikiwa nina thamani ya $50-milioni, sitakupa $25-milioni baada ya talaka. Ni pesa yangu na niliifanyia kazi kwa bidii sana. Sijali kama tumeoana kwa miaka 6 au hata miaka 25 au hata tuna watoto. Ikiwa huna pesa za kutosha kuwatunza watoto wetu, niachie mimi. Nafikiri kwamba kwa sababu tu mtu fulani anaoa mtu ambaye alijenga kitu kikubwa, haimaanishi kwamba kwa sababu tu anapata talaka, wanapaswa kuishia kama Malkia wa Sheba." ~
Nakumbuka kesi ya yule DK yule mke ananukuliwa akisema yeye ndio kaamua kumwacha mume lkn uyo uyo anataka nyumba ya DK akitafuta msaada wa kisheria apa TRAMP kapiga penyewe na huu ni ukombozi sio tu kwa wanaume ata kwa Wanawake wenyewe tabia zao za kudai talaka wataacha nao watabaki na waume wao adi kufa kwao.Hapo atakua amegusa kilio cha wanaume wengi sana wa America wanaoteseka na kusita kufanya maamuzi ya kuachana!
Aisee nkwel kabsaaa mkuu, maana waliopitsha hizo laws kwenye mataifa yao.Wazee wenyewe ni mazezeta, wanatunga Sheria za kipumbavu.
Na huo ndio uzuri wa mabadiloko ya uongozi,sio ongozi za kifalme,wanabweteka na kusahau kama shida zipo na zaaina gani.Hiyo sheria ni ya kishenzi bora ifutwe
Bro ni typing error au ume andika nini hiki??.Hiyo thread title nadhani unataka uifanye ili iweje chanzo cha mjadala mpya