ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Hakuna Mashamba waliyoporwa Wazungu hapa Tanzania.Kwa hiyo na Tanzania tuwarudishie wazungu mashamba ili turudi kwenye uchumi wa kati chini?
Pale Tanga tulimnyang'anya Mo Dewji mashamba.Huo ni mfano tu.Hakuna Mashamba waliyoporwa Wazungu hapa Tanzania.
Sema tuwape wawekeze kwenye large scale farming
Kwa nini waafrika hawawezi uwekezaji?Waafrika na uwekezaji wapi na wapi asee. Tulete wazungu
My Take
Hili liwe funzo Kwa Afrika Kusini maana mtu mweusi hakuna kitu anakiweza.
View: https://youtu.be/F9GD9DgC-mM?feature=shared%5B/U
Waliporwa mwaka 1967 wakati wa Azimio la Arusha. Waliporwa mashamba, waliporwa migodi, waliporwa viwanda hadi majengo.Hakuna Mashamba waliyoporwa Wazungu hapa Tanzania.
Sema tuwape wawekeze kwenye large scale farming
Hata 6 hawafikiWaliporwa mwaka 1967 wakati wa Azimio la Arusha. Waliporwa mashamba, waliporwa migodi, waliporwa viwanda hadi majengo.
Wakati huo uchumi wa Tanganyika ulikuwa sawa na ule wa Thailand, Malaysia, na Singapore. Leo hayo mataifa yamepaa kiasi cha kutoweza kuyalinganisha kwa chochote na Tanganyika.
Waorodheshe tuone.Hata 6 hawafiki
Mmja ni yule aliyeshika ndegeWaorodheshe tuone.
Wazungu hawakuwahi kutwaa mashamba Tanzania! Tanzania was not a settler colon! Shule Huwa mnaenda kufanyaje?Kwa hiyo na Tanzania tuwarudishie wazungu mashamba ili turudi kwenye uchumi wa kati chini?
Orodhesha uweke ukamilifu wake.Mmja ni yule aliyeshika ndege
Kwa hiyo unatupa funzo la asilimia 90 ya urithi wa watoto wetu kumilikiwa na mgeni???My Take
Hili liwe funzo Kwa Afrika Kusini maana mtu mweusi hakuna kitu anakiweza.
View: https://youtu.be/F9GD9DgC-mM?feature=shared
Soma zaidi hapa Siasa za Kukurupuka: Hatimaye Zimbabwe Yaanza Kuwafidia Mabilioni Wakulima wa Kizungu Walioporwa Mashamba Yao na Mugabe
Watu weusi Huwa wanaharibu sana Uchumi eg mtu mweusi wa awamu ya 5 ππOrodhesha uweke ukamilifu wake.
Hata ukimiliki 90% hakuna Cha maana unafanya zaidi ya Kuharibu maisha eg awamu ya 5 ππKwa hiyo unatupa funzo la asilimia 90 ya urithi wa watoto wetu kumilikiwa na mgeni???
You must be kidding....
Yani kichwani mwako umekariri neno settlers ndiyo walikuwa na umiliki wa ardhi peke yao?You are a smart fool.Ikiandikwa "wazungu" jiongeze zaidi na zaidi.Wazungu hawakuwahi kutwaa mashamba Tanzania! Tanzania was not a settler colon! Shule Huwa mnaenda kufanyaje?
Yule ni mjomba wako upande wa babu mzaa mjukuu.Mtajijua naye.Watu weusi Huwa wanaharibu sana Uchumi eg mtu mweusi wa awamu ya 5 ππ
Wagombea zangu Wana Akili ,waungwana na wanajua wajibu wao ni kutengeneza maisha ya watu sio KuharibuYule ni mjomba wako upande wa babu mzaa mjukuu.Mtajijua naye.