Hatimaye Uchumi wa Zimbabwe Waanza Kukua tena Baada ya Wazungu Kurejeshewa Mashamba Waliyoporwa na Uwekezaji wa Migodi

Hakuna Mashamba waliyoporwa Wazungu hapa Tanzania.

Sema tuwape wawekeze kwenye large scale farming
Waliporwa mwaka 1967 wakati wa Azimio la Arusha. Waliporwa mashamba, waliporwa migodi, waliporwa viwanda hadi majengo.

Wakati huo uchumi wa Tanganyika ulikuwa sawa na ule wa Thailand, Malaysia, na Singapore. Leo hayo mataifa yamepaa kiasi cha kutoweza kuyalinganisha kwa chochote na Tanganyika.
 
Hata 6 hawafiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…