Hatimaye udsm kufutwa

Joined
Feb 14, 2012
Posts
71
Reaction score
8
kwa habari nlizonazo za uhakika toka viongozi wa juu chuo kikuu mliman kina mpango wa kufuta undergraduate degree zote na kubakisha masters phd na kuendelea hii inalenga kutengeneza lectures na hazina ya taifa
pia kutokana na chuo hicho kuachwa nyuma katika mambo mengi ya kimataifa ikiwa pamoja na wanafunzi kutokushiri mashindano yoyote ya vyou, chuo hicho kimekosa mvuto.
my take .. st agustine kinakimbiza sana ni chuo kizuri kutake over udsm
 
Huu mpango utachukua muda mrefu sana kutekelezwa.Almost 20 years
 
unataka kujipromoti? Udsm ndo jamvi la kila kitu,sema siasa za jk ndo zinakirudisha nyuma. No publication,kila mtu amegeuka mchakachuaji ndo maana kimeshuka anga za kimataifa. Sijasoma udsm ila i salute watu wanaotoka pale. Ni miaka ya karibuni ndo kuna watu ambao ni pepa oriented.
 
Tanzania kwa Mipango hakuna nchi inayoweka kuikuta
 
SAUTI ndio hao bado hawajapewa mkopo? Wakati UD sasa hivi watu wapo kwenye ATM? Ud kitabaki kuwa juu tu. Kwa vigezo vingi.
 

pole sana mkuu kwa kukosa chance hiyo..
 
SAUTI ndio hao bado hawajapewa mkopo? Wakati UD sasa hivi watu wapo kwenye ATM? Ud kitabaki kuwa juu tu. Kwa vigezo vingi.

hasa kwa mambo yakuomba hela ya mikopo na migomo isiyokuwa na umuhimu wakati mwingine ndio itabakia kuwa juu ila kwa elimu jaribuni tena baadae..
 
Sasa saut nacho ni chuo?majitu yanashindwa hata kudai haki zao za msingi!udsm itabaki kuwa juu siku zote.pole kwa kupakosa.over
 
SAUT haiwezi kuwa m'badala wa UDSM,SUA wala MZUMBE!ubora wa chuo unatokana na vigezo vingi, mfano research works, vitivo, na elimu inayotolewa kama post graduates, masters na PHD.
 
Embu mweleweshe atubainishe kipi kati ya undrgrdt or Udsm.
 
hasa kwa mambo yakuomba hela ya mikopo na migomo isiyokuwa na umuhimu wakati mwingine ndio itabakia kuwa juu ila kwa elimu jaribuni tena baadae..

hongera kwa imani yako uliyonayo. Ipo siku utafunguka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…