Hatimaye udsm kufutwa

Ni sawa ulicho andika ndg, na majuzi kiongozi mmoja wa hapo udsm alirudia kusema ulichoandika
 
watakuwa wamefanya a big mistake.....wameshindwa kukipanua chuo wanafuta ....nina wasi wasi na hao maprofesa wa aise
 
Umeharibu hapo mwishoni. SAUT kinakimbiza kwenye nini???????
 
Ndugu unafananisha chuo cha udsm na st augustine? Majengo si tija baba, kwanza mm nakataa mahall 7 yameanza kujenga kwa ajil ya wanafunz
 
Yap, nami niliisikia hiyo kaka, prof. fulani anafundisha abroad but ni Mtanzania amenimegea hiyo program.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…