joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Hahahaha, dunia kweli inazunguka. Kweli Kenya inaweza kumuacha bwana mkubwa wake Mungu/Mzungu anayemlamba mat*ko na kuikumbatia Tanzania?, kweli njaa ni kiboko.ni juzi tu hapa tumetoka kumfariji jirani kwa masaibu yaliyomkuta.... hivi hata bado hajakauka machozi,,, leo hii unamuambia ''usije kwangu utaniambukiza ujinga''.... hii ni haki kweli???
UK wakae kwa kutulia kwanza, hatutaki kumpandisha presha Mama SSH.
Nani amekuambia kwamba tuliwaomba mkopo? Tumepiga hesabu za haraka haraka tukaona kwamba kufungiana border na TZ itatucost zaidi maana tutazuia mizigo za nchi hizi mbili kupita. Uzuri UK haizuii mizigo ya Kenya kuingia, inazuia tu wananchi wa Kenya kuingia lakini biashara inaendelea kama kawaida. Inaendelea kununua chai na maua ya Kenya. So we chose the lesser evil between the two options. Maana nyinyi tunawajua ni vichwa mbaya tukizuia raia wenu kuja huku mtazuia mizigo yetu kuingia TZ kama Magu alivyofanya. Yaani hamna proportionality kabisa. Badala na nyinyi mzuie Wakenya wasije TZ, mnazuia hata na mizigo za Kenya zisije TZ ilhali sisi tulizuia wananchi wenu pekee ila tuliruhusu mizigo zenu kupita.
Duh umeongea kwa uchungu Sana.Nani amekuambia kwamba tuliwaomba mkopo? Tumepiga hesabu za haraka haraka tukaona kwamba kufungiana border na TZ itatucost zaidi maana tutazuia mizigo za nchi hizi mbili kupita. Uzuri UK haizuii mizigo ya Kenya kuingia, inazuia tu wananchi wa Kenya kuingia lakini biashara inaendelea kama kawaida. Inaendelea kununua chai na maua ya Kenya. So we chose the lesser evil between the two options. Maana nyinyi tunawajua ni vichwa mbaya tukizuia raia wenu kuja huku mtazuia mizigo yetu kuingia TZ kama Magu alivyofanya. Yaani hamna proportionality kabisa. Badala na nyinyi mzuie Wakenya wasije TZ, mnazuia hata na mizigo za Kenya zisije TZ ilhali sisi tulizuia wananchi wenu pekee ila tuliruhusu mizigo zenu kupita.
Yaani Sisi tuko hivi,ukitupiga ngumi moja,Sisi tunakupiga mangumi,mateke na mahedi double double,hatutaki ujinga😎😎😎Nani amekuambia kwamba tuliwaomba mkopo? Tumepiga hesabu za haraka haraka tukaona kwamba kufungiana border na TZ itatucost zaidi maana tutazuia mizigo za nchi hizi mbili kupita. Uzuri UK haizuii mizigo ya Kenya kuingia, inazuia tu wananchi wa Kenya kuingia lakini biashara inaendelea kama kawaida. Inaendelea kununua chai na maua ya Kenya. So we chose the lesser evil between the two options. Maana nyinyi tunawajua ni vichwa mbaya tukizuia raia wenu kuja huku mtazuia mizigo yetu kuingia TZ kama Magu alivyofanya. Yaani hamna proportionality kabisa. Badala na nyinyi mzuie Wakenya wasije TZ, mnazuia hata na mizigo za Kenya zisije TZ ilhali sisi tulizuia wananchi wenu pekee ila tuliruhusu mizigo zenu kupita.
Do you know that Kenya is in group of failed states??Yaani sisi ndio tunaumia kwa sababu ya kuwa na jirani mjinga namna hii. Hio ban tuliopigwa na UK ni kwa sababu sisi ni jirani na nchi kaidi.
Sawa mmechagua lakini msitusimange basiGeza Ulole Kenya imechagua Tanzania. Natumai umefurahi. Sijui mbona tumewachagua nyie majirani vichwa mbaya.
Cc joto la jiwe
Do you know that Kenya is in group of failed states??
Do you know what does it mean???
It is because you don't have decisions as a free nation,you have got to be influenced to decide..
They are always been told do's and don'ts. & they never question it.
musipoandika lugha ya kueleweka munapungukiwa na nini???Do you know that Kenya is in group of failed states??
Do you know what does it mean???
It is because you don't have decisions as a free nation,you have got to be influenced to decide..
musipoandika lugha ya kueleweka munapungukiwa na nini???
Kuna sehemu hukuelewa tukueleweshe!?musipoandika lugha ya kueleweka munapungukiwa na nini???
Ameelewa kila kitu, ujumbe uliomo ndio tatizo kwake, haelewi maana ya "failed state".Usipoelewa wewe, nani wa kulaumiwa!!!??
In Tanzania we call it ukiwaga sukuma namwaga ugali ukizuia raia wa Tz sisi tunafanya kitu kikubwa zaidi yako ili kuweka seriousness Tz is like heaven to Kenya so don't estimate our contributionsNani amekuambia kwamba tuliwaomba mkopo? Tumepiga hesabu za haraka haraka tukaona kwamba kufungiana border na TZ itatucost zaidi maana tutazuia mizigo za nchi hizi mbili kupita. Uzuri UK haizuii mizigo ya Kenya kuingia, inazuia tu wananchi wa Kenya kuingia lakini biashara inaendelea kama kawaida. Inaendelea kununua chai na maua ya Kenya. So we chose the lesser evil between the two options. Maana nyinyi tunawajua ni vichwa mbaya tukizuia raia wenu kuja huku mtazuia mizigo yetu kuingia TZ kama Magu alivyofanya. Yaani hamna proportionality kabisa. Badala na nyinyi mzuie Wakenya wasije TZ, mnazuia hata na mizigo za Kenya zisije TZ ilhali sisi tulizuia wananchi wenu pekee ila tuliruhusu mizigo zenu kupita.
Umewaza na kuuliza vemaIf the vaccines are working fine, what's all this fear about?