Hatimaye ukweli wabainika, Tunda na Selena Gomez ni mapacha

brigedia mafia

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2016
Posts
2,260
Reaction score
2,279
Daaah aisee hawa watoto wawili Tunda na Selena wanafanana vitu vingi sana kuanzia style yao ya maisha, aina ya wapenzi waliokuwa nao hapo awali, tabia ya kupenda kula kula ,uvaaji ,sura, na vitu vingine kama hivyo



Huyu ni Selena Gomez


Huyu ni Tunda









































 
Hata hivyo huyo Selena nimempendelea sana hamfikii kwa sura Tunda hata kidogo labda idadi ya followers na mafanikio
same bitch.z but different LEVEL[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Fananisha tunda na amba lulu , husna maulid ruckia rucky

maana wengine haendani nao hata⅛
 
Umelipwa shillingi ngapi kufamfanyia promotion huyu mtoto?. Au ni ushamba wako tu, au ugeni wa Jiji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…