Hatimaye ushauri niliowahi kuutoa hapa JF leo umetamkwa hadharani na Rais Rais

Hatimaye ushauri niliowahi kuutoa hapa JF leo umetamkwa hadharani na Rais Rais

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Leo sitaandika sana. Soma huo uzi niliowahi kuandika humu kisha soma alichosema Mama leo. Nimeamini mama yumo humu na anatusoma. Mimi kama mtanzania mzalendo nitaendelea kutoa mawazo ya kujenga nchi hadi pale nitakapotwaliwa na muumba.


 
Tatizo mnaweka mashart magumu,eti mpaka muunde kikundi.
Maisha ya Sasa hivi,sio ya kufanya kazi kwa vikundi.vikundi ni 10% tu.
Bora mboreshe ili hata Kama ni mtu mmoja aweze kukopeshwa,kikubwa atembelewe kwa ukaguzi.

Kivikundi ni changamoto kiukweli,
Kama Nia yao ni njema kwa watu wengi basi waruhusu mtu mmoja mmoja ikiwezekana.
Biashara au mlado hubuniwa na mtu na si watu.
Matokeo ya kutokurejesha ni pale,mnawalazimisha kuunda kikundi,afu kweli wanaunda ila jueni eakishaipata ile hela huwa wanagawana kila mtu anapeleka kwenye mladi wake.

Hivyo inakuwa changamoto urejeshaji,maana mmoja wao ayachukulia kawaida si wako wengi,
Hivyo anaweza kuchikichia na kuwaachia msala wengine.
 
Tatizo mnaweka mashart magumu,eti mpaka muunde kikundi.
Maisha ya Sasa hivi,sio ya kufanya kazi kwa vikundi.vikundi ni 10% tu.
Bora mboreshe ili hata Kama ni mtu mmoja aweze kukopeshwa,kikubwa atembelewe kwa ukaguzi.

Kivikundi ni changamoto kiukweli,
Kama Nia yao ni njema kwa watu wengi basi waruhusu mtu mmoja mmoja ikiwezekana.
Biashara au mlado hubuniwa na mtu na si watu.
Matokeo ya kutokurejesha ni pale,mnawalazimisha kuunda kikundi,afu kweli wanaunda ila jueni eakishaipata ile hela huwa wanagawana kila mtu anapeleka kwenye mladi wake.

Hivyo inakuwa changamoto urejeshaji,maana mmoja wao ayachukulia kawaida si wako wengi,
Hivyo anaweza kuchikichia na kuwaachia msala wengine.
Na hili ndilo tatizo linaloitesa nchi yetu. Watawala wanatufanya wananchi tujione kama vile yuko kwenye nchi ya kijamaa! Na wakati tuko kwenye ubepari. Na wao kitambo tu wanaishi maisha ya kibepari!
 
Leo sitaandika sana. Soma huo uzi niliowahi kuandika humu kisha soma alichosema Mama leo. Nimeamini mama yumo humu na anatusoma. Mimi kama mtanzania mzalendo nitaendelea kutoa mawazo ya kujenga nchi hadi pale nitakapotwaliwa na muumba.



Ni kitendawili,nchi hii ya ajabu sana.Okay, hiyo 10% watapewa Bank,na hizo Billion 88 zitapatikanaje?Sijaona Samia akiliongelea hilo.Kwani waliochukua hawaja-sign anywhere?Kwani wamepewa kama njugu,si wanafahamika,si wakamatwe?Hivi ni vituko ambavyo vinatokea Tanzania tu,not anywhere else in the World.This is a shame.
 
Back
Top Bottom