Hatimaye Vifusi vya Barabara ya Sangu (Mbeya) kuelekea Benki Kuu vilivyokuwa kero, vimesambazwa

Hatimaye Vifusi vya Barabara ya Sangu (Mbeya) kuelekea Benki Kuu vilivyokuwa kero, vimesambazwa

Mwanongwa

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2023
Posts
611
Reaction score
567
Ahsanteni sana TARURA Mkoa wa Mbeya kwa kusikia kilio chetu Wananchi wa Kata ya Forest.

Hatimaye vile vifusi vilivyokuwa vimemwagwa katika Barabara ya Sangu kuelekea Benki Kuu vimeanza kusambazwa.

Ila ndugu zangu wa TARURA yaani mpaka tulalamike ndiyo mfanye, siyo sawa bhana.

Ila pongezi kwenu Kwa kuwa watiifu.

WhatsApp Image 2025-02-11 at 17.46.51_303183b8.jpg

WhatsApp Image 2025-02-11 at 17.46.47_1ee00cc1.jpg


Ilivyokuwa awali ~ Mbeya: TARURA sambazeni vifusi mlivyomwaga tangu Mwaka 2024 katika Barabara ya Sangu kwenda Benki Kuu
 

Attachments

  • MOV_0765.mp4
    30.6 MB
  • WhatsApp Image 2025-02-11 at 17.46.51_303183b8.jpg
    WhatsApp Image 2025-02-11 at 17.46.51_303183b8.jpg
    1.4 MB · Views: 2
Fanya Masahihisho Haraka Sana
Kama Mkuu Kindeena Alivyokuelekeza
 
Mwaka wa uchaguzi huu mkuu,kuna Barabara hapa jirani ilikuwa mbovu kwelikweli tumelalamika tukachoka,ikabidi tuanze kuchangishana angalau iendelee kupitika,eti juzi nakuta wanaichonga Pumbavu kabisa!!!!
 
Back
Top Bottom