Mchango chanya ni kupinga ujinga kama sasa tunapinga Rushwa ya CCM kwa Mbowe siyo kama nyinyi CCM eti michango chanya ni kuunga mkono udikiteta wote na ujinga wote wa CCM pasipo kukataa unafikiYaani Hawa Vijana hawakuwa na mchango chanya hata siku moja kwa chama chao. Wanafikiki unafuatilia chama kama isidingo hahaha
Nadhani usaliti walianza wafuasi wao wa kutojitokeza kwenye maandamano endelevu. Mnataka wao tu ndio wasulubiwe kila siku?Ila kuna njaa ya hatari. Na kamwe usifanye deal na mwenye njaa, atakusaliti tu!!!
Hamna lolote nyinyi. Ohhh tunaonewa!!Pesa iliyotumika kuwanunua ingetosha kujenga viwanda 100 na Hosptal kubwa ya rufaa Morogoro na kwingineko Nchini lakini ccm wameona wawanunue wabunge wa chadema wakwepe vikwazo vya kimataifa
Mkuu unataka ukajipongeze [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi kitimoto kavu na ndizi za kuchoma bado bei ni ilele?maana sijala muda mrefu sana...
Unaona sasa hukupiga kura ila porojo zako humu utafikiri ulipiga kura.Hapa waliosalitiwa ni Wapiga kura! Kusema ukweli hakuna Upinzani Tanzania.
Aheri mimi ambaye sikupiga kura.
Shame on unapinga kwa kupitia niniMchango chanya ni kupinga ujinga kama sasa tunapinga Rushwa ya ccm kwa mbowe siyo kama nyinyi ccm eti michango chanya ni kuunga mkono udikiteta wote na ujinga wote wa ccm pasipo kukataa unafiki
Ndio tunaemsubiri kwa sasa....Bado Maalim Seif.
Mbona bado ipoo??Bi dada Miss Zomboko una uhakika gani na source ya habari yako? Maana hata hiyo clip uliyoweka, kule youtube tayari ishapigwa chini.
Nasikia dadali wa ununuzi kapiga faida kama bilion ama kweli hakuna biashara isiyo na faida huko ccmHaya mambo bhana..
Kunyweni beer mtulie..wala msiwe na hasira.
Mkuu njaa Kali hatari....SITAKI TENA KUSHABIKIA UPINZANI,NIMENYOOSHA MIKONO JUU
Ungeandamana ungetwangwa virungu halafu ukiwa ICU unaona hao wanaapa na kusaini kuchukua poshoMnyika naye amekubaliana na huu upuuzi?? kuanzia sasa sitaki tena kusikia au kujishugulisha na siasa, kumbe naweza uwawa bure nikawaacha ma binti zangu wadogo yatima huku wanasiasa wanagawana madaraka juu ya maiti yangu,...... maza - fakaa all politicians
Endelea tu kushabikia hadi unyooshe miguu juuSITAKI TENA KUSHABIKIA UPINZANI,NIMENYOOSHA MIKONO JUU
Mkuu Lissu kakimbiaMkuu zile kesi za Lissu haziskilizwi tena?
Kama ni kweli mimi nitajiunga ccm kabisa!
Kina jingalao johnthebaptist Jane Lowassa Bia yetu mama D na wengineo naombeni mnipokee
Chief hii sasa ni jazbaKamuulize babako!