Uchaguzi 2020 Hatimaye Wabunge 19 wa Viti maalumu wa CHADEMA wajitokeza kuapishwa Dodoma. Viongozi wa CHADEMA wakana kupeleka majina yao

Usiombe iingie kwenye mji wako. TL yeye kaenda kula Belgium. Wengine kawaacha bila kujua chakula kitatoka wapi
Lissu kakimbia asiuawe lakini huko kaenda na msimamo wake binafsi huku nyuma Mbowe kala Rushwa peke yake na pengine kampa kipande mnyika huu mchongo Lissu hayupo umepigwa na wachaga watupu wapenda pesa kuliko Utu
 
Leo ndio nimeamini Tanzania si lolote si chochote mbele ya hao mnaowaita mabeberu.Yaani nguvu iliyoyumika kuwaaminisha eti hali ni shwari ni dhahiri kibano cha mameberu ndio sababu ya haya yote,si kwa nguvu ile iliyotumika.
 
CHADEMA kama haijabariki haya, ikithubutu kuwafukuza uanachama itakumbana na upinzani mkali kutoka vyama vya utetezi wa wanawake na wafeminist wote kwamba CHADEMA inakandamiza wanawake, wakati huo huo CCM ilipopota ushindi wa wanaCDM wakiwemo hao wanawake wanaharakati hao walikuwa kimyaaaaa!
 
Nilisikia Lissu akishauri Magufuli afanye maridhiano na wapinzani.... Nahisi kuna kitu kipo calculated sasa.... hata Lissu anahusika na hii move
 
Kama wabunge waliowahi kuwa bungeni Wana njaa Kali mno, je Tanzania tunaupinzani wa kweli au wasakatonge,
Mwanasiasa nje ya siasa ni njaa tu. Kama Wassira alikuwa anasema hana la kufanya nje ya Ubunge, mtu kama Halima kakaa bungeni miaka 10 lakini bado ana njaa. Halafu utasikia jamani vijana mjiajiri.

Huwa ninawatazama sana vijana wenye mzuka eti wako tayari kupigania haki. Mnapigana vipi wakati hamjui wenzenu wanatafuta nini? Ili kutimiza ndoto zako tafuta wajinga wa kukuunga mkono wakiamini unaawapigania. Halafu we huyo... Utasikia na Zanzibar jamaa kakubali.
 
CHADEMA hawana tofauti na CCM kwa sasa, wote wachumia tumbo tu!

Huwezi kuilinganisha CCM na vikundi vya ajabu ajabu
CHADEMA mafisadi na wahujumu uchumi na maendeleo ya taifa wanafananaje na CCM ya watanzania?
 
Wee mungu baba angalia Leo tunavyo tukanwa namna hii[emoji3516] Lisa kuamua kuwaaamini wasaliti ulio tupatia watuongoze[emoji24][emoji24][emoji24] em tuonee huruma basi[emoji119]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…