Sina tatizo na msimamo wa chama maana mimi sio sehemu ya maamuzi ya chama. Msimamo wangu uko pale pale, ule haukuwa uchaguzi bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Hao wadada waende wakatafute pesa, lakini wasikae wakategemea support yetu.Sawa mkuu!
Vipi sasa juu ya msimamo wenu kama chama?
Wala CHADEMA haijaisha Habari yake! Upinzani Upo na ni imara kuliko mwanzo, tunaandamana ndani kwa ndani, na wanawake wa CHADEMA kwenda bungeni siyo kitendo cha aibu au kushindwa! Kwa hali iliyopona ushabiki, kama huu wa kwako, kile ni kitendo cha ujasiri mkubwa na kitakua na matokeo makubwa na mazuri! Kuna wana ccm mtajuta kushabikia au kuponda kitendo hiki!chadema kwisha habari yake., sasa maalim seif anasubiri nini naye aapishwe makamo wa kwanza, pia wale wabunge 4 wende zao bungeni na wawakilishi wakaape nao barazani tusubiri tena miaka 5 waendelee kuchinjiwa baharini
Mzee ulivyoambiwa uandame ulishiriki?Kidogo tuu wametepeta? Kwa kweli inatia hasira, tena wamuombe radhi yule mbunge wao dada wa Nkasi waliokuwa wanamkataza kuapishwa. Tena ina maana wamem snitch hata Lissu aliye utangazia ulimwengu kuwa katu CDM hatutashiriki kwenye shughuli za Bunge na walla hatuitambui serikali iliyoingia madarakani kimizengwe?
Ni kweli!Hahahaaa jirani bana....
Ila kale ka Esther Matiko ni kazuri zuri 😄😄
Kwisha habar yenu, wabongo na siasa ni vitu 2 tofautiWala CHADEMA haijaisha Habari yake! Upinzani Upo na ni imara kuliko mwanzo, tunaandamana ndani kwa ndani, na wanawake wa CHADEMA kwenda bungeni siyo kitendo cha aibu au kushindwa! Kwa hali iliyopona ushabiki, kama huu wa kwako, kile ni kitendo cha ujasiri mkubwa na kitakua na matokeo makubwa na mazuri! Kuna wana ccm mtajuta kushabikia au kuponda kitendo hiki!
Mkuu sijui namana ya kumtag mtu hebu nielekeze
Uraiani kugumuHivi kweli hawa Chadema wameshindwa kuvumilia kwa miaka 5 tu ..... Kwa mtindo huu kitachofanyika 2025 itakuwa zaidi ya sasa.
Hivi huwa mnawaamini wanasiasa[emoji849]CHADEMA hawana tofauti na CCM kwa sasa, wote wachumia tumbo tu!
Yule mgombea wa muheza wamemwacha?Wabunge Viti Maalum kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wameanza mchakato wa kusajiliwa Jijini Dodoma.
Majina yao yamewasilishwa na Katibu Mkuu wa CHADEMA
ORODHA YA WABUNGE WA VITI MAALUM CHADEMA 2020.
1. Halima Mdee
2. Grace Tendega
3. Ester Matiko
4. Cecilia Pareso
5. Ester Bulaya
6. Agnesta Kaiza
7. Nusrat Hanje
8. Jesca Kishoa
9. Hawa Mwaifunga
10. Tunza Malapo
11. Felister Njau
12. Naghenjwa Kaboyoka
13. Sophia Mwakagenda
14. Kunti Majala
15. Stela Fiayo
16. Anatropia Theonest
17. Salome Makamba
18. Conchesta Rwamlaza
19. Asia Mohammed
HOTUBA FUPI YA HALIMA MDEE KWA NIABA YA WABUNGE WA VITI MAALUM WA CHADEMA
Nikishukuru chama changu cha CHADEMA kikiongozwa na Mwenyekiti wetu Freeman Mbowe ambao kupitia wao sisi tumepata nafasi ya kukiwakilisha chama chetu, viti hivi siyo hisani ila ni sehemu ya ushindi mkubwa ambao chama chetu kilipata
"Mh. Spika tumefanya kazi wote kwa miaka zaidi ya 10, tutafanya kazi kwa uaminifu kama Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni kwa uadilifu mkubwa, tuna vijana wapya sisi kama dada zao tutahakikisha wanafanya kazi nzuri kwa ajili ya Taifa hili
Zaidi tuwahakikishie wana CHADEMA nchi nzima, tutafanya kazi mliyotutuma kwa uaminifu na kwa uadilifu mkubwa sana, Mh Spika nikushukuru sana, wewe na chama chetu
Zaidi tuwahakikishie wana CHADEMA nchi nzima, tutafanya kazi mliyotutuma kwa uaminifu na kwa uadilifu mkubwa sana, Mh Spika nikushukuru sana, wewe na chama chetu"
SPIKA NDUGAI: Muongezeeni makofi Halima, ningependa kuchukua nafasi hii kuwapongeza wabunge wapya na kwa niaba yenu wote ningeomba tuwapigie makofi.
Kwa mujibu wa ibara ya 78, ibara ndogo ya kwanza ikisomwa na ibara ya 66, ibara ndogo ya 1(B)
Lissu leo katettwet akitaka vikwazo, hajahusishwaNimemsikia Halima akitoa hotuba fupi baada ya kuapishwa akikishukru chama na Mwenyekiti wake Mbowe. Kwamba chama na Chairman wametoa baraka zao zote kwa Wabunge 19 wa kuteuliwa kwenda kula kiapo!
Nina amini CHADEMA uongozi wa juu kwa maana ya CC na watakuwa wamekaa na kuzungumxia hii habari. Naamini Tundu Lissu atakuwa amehusishwa na kufikia mwafaka l
Mimi napenda kuwapongeza CHADEMA kwa uamzi huu wa kishujaa. Nitaeleza :
- Wamepeleka Wabunge wanawake ambao ni MAJEMBE kwa kuchangia hoja, kujenga hoja,kupangua na kuchambua hoja. Sina shaka na Halima, Esther, Pareso na wengine ni Wabunge makini sana,
- CHADEMA wameona mbali. Kwa vile JIWE alikuwa na nia ya kuua na kufuta UPINZANI Bungeni hasa KUB kwa move hii JIWE atakwama. Tayari CHADEMA ina Wabunge 20 ndani ya Bunge watakaou ngana na wale wa ACT Wazalendo na yule 1 wa CUF.
- Napendekeza Mhe. Halima Mdee awe Kiongoxi wa KUB ili apambane na mafisi wa CCM Bungeni.
- Hii itakuwa ni FURSA YA CHADEMA, ACT na CUF kupaza sauti zao kuelexa MADUDU NA MAOVU YOTE YA WIZI WA KURA ULIOFANYWA NA CCM wakti wa Uchaguzi Mkuu wa 2020.
- CHADEMA pia watakuwa wameepuka kufutika katika siasa za Upinzani kwa kuendelea KUPATA RUZUKU ITAKAYO KISAIDIA CHAMA KUJIENDESHA. Tusidanganyane chama bila fedha iwe ya Michango ya Wanachama au RUZUKU hakiwezi ku-survive.
Hivo wabunge 19 mlioteuliwa kupeperusha bendera ya CHADEMA Bungeni kapigeni kazi kuonesha uhai na uwepo wa CHADEMA Chama chenye nguvu Tanzania. MUNGU IBARIKI CHADEMA.
Trump naye tayari ameshaunga juhudi anamwachia presidaaa elect aanze kusafisha mapito.Lissu wewe nani na EU yako.Mwaka huu mtajibeba.Nchi kwanzA ushamba baadayeWewe ndiyo unasema haukuwa huru na haki. Chadema wanajua ulikuwa huru na haki na leo wamepeleka wabunge viti maalum kuapa. Pole sana na kibaraka Lissu Amsterdam!
Narudia Tena em fikiri vzr. Hivi unafikiri ruzuku za Kila mwez 200million kwa chama kwa ajili ya uendeshaj hazitoshi pasiii na kuwepo wabunge bungen?? We una dhani ku a kuwepo wao bungen ndo Kuna endesha chama?? Em tafakar tena
Kupigania haki hakuishi na ni kitu cha lazima. Ubaya ni kumkadhi mtu/watu jukumu la kupigania haki yako. Hiki ndicho kinachofanya wanasiasa wawachezee watanzania. Watanzania karibu wote wamekabidhi jukumu la kupigania haki zao kwa wanasiasa bila kufahamu kuwa wanasiasa wengi wako kwenye siasa kupigania matumbo yao. Na mbaya zaidi hii hali imeshingia mpaka kwenye dini.Mwanasiasa nje ya siasa ni njaa tu. Kama Wassira alikuwa anasema hana la kufanya nje ya Ubunge, mtu kama Halima kakaa bungeni miaka 10 lakini bado ana njaa. Halafu utasikia jamani vijana mjiajiri.
Huwa ninawatazama sana vijana wenye mzuka eti wako tayari kupigania haki. Mnapigana vipi wakati hamjui wenzenu wanatafuta nini? Ili kutimiza ndoto zako tafuta wajinga wa kukuunga mkono wakiamini unaawapigania. Halafu we huyo... Utasikia na Zanzibar jamaa kakubali.
😲Kuna kitu hapa ndio masna jana Nusrat na Wengine waliachiwa usiku...
ndo maana Yesu hakuna na wanafunzi wanawake.... Afadhali kusudi Nyani Ngabu aweze kuhamasika kuangalia vikao vya bunge tena.
View attachment 1633874
Kinachofurahisha na kuchekesha,ni kwamba mlichelewa sana kulijua hilo,huku mkikinasibu chama chenu CHADEMA kama wapigania haki.Sasa kama siasa za Africa hazijawahi kuwepo kwa ajili ya kupigania wananchi hilo ni jambo la kufurahia au la kuunga mkono kwa mtu mwenye akili timamu au linapaswa kupigwa vita kwa nguvu zote?