Hatimaye Watanzania waanza kumuelewa Msanii Lava Lava! (Ng’ari Ng’ari) Hongera Lava Lava

Hatimaye Watanzania waanza kumuelewa Msanii Lava Lava! (Ng’ari Ng’ari) Hongera Lava Lava

Leak

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2012
Posts
52,916
Reaction score
43,505
Ukweli usemwe Msanii Lava Lava ni mmoja ya wasanii chini ya WCB waliokuwa wanapitia kipindi kigumu sana tangu ajiunge ndani ya WCB!

Lava lava amekuwa na bahati mbaya sana kutoka kwa mashabiki pamoja na kujitahidi kuimba lakini mashabiki kwa kipindi kirefu wamekuwa hawamuelewi kabisa kiasi kwamba kuonekana ni moja ya mizigo ndani ya WCB maana walikuja wakina Mboso na Zuchu wakatoboa lakini yeye bado aliendelea kuonekana kama msindikizaji!

Hakika pengine naweza kukubali kila kitu kina muda wake kabisa na kwa hakika pengine mwaka 2021 tena mwishoni umekuwa wakati mzuri kwake toka aanze kazi zake za muziki kwani kwa kipindi hiki kuanzia mwezi wa kumi kumekuwa na mabadilliko kwenye nyimbo zake na hata mapokeo ya nyimbo zake za Inatosha na Ng*ari ng*ari zimefanya vyema sana hapa nchini na kwa hakika naweza sema hasa Ng’ari ng’ari umekuwa wimbo bora sana kuanzia mtaani!

Kwa hakika naweza kusema Lava Lava kafunga vyema mwaka na Ng’ari Ng’ari na kwa kipindi hiki cha mwisho wa mwaka huu ndio unaweza kuwa ndio wimbo unaotamba sana ukiacha nyimbo zingine za wasanii!

Kwa kweli niwapongeze watanzania kwa kumvumilia huyu kijana na kumpa nafasi na sasa amepokelewa vyema japo kwa kuchelewa!

LavaLava mguu ulio amka nao mwisho wa mwaka huu usiuache!
 
Alikua haeleweki anchoimba sauti nzuri ila maneno anayoimba hayana mantiki
 
Ukweli usemwe Msanii Lava Lava ni mmoja ya wasanii chini ya WCB waliokuwa wanapitia kipindi kigumu sana tangu ajiunge ndani ya WCB!

Lava lava amekuwa na bahati mbaya sana kutoka kwa mashabiki pamoja na kujitahidi kuimba lakini mashabiki kwa kipindi kirefu wamekuwa hawamuelewi kabisa kiasi kwamba kuonekana ni moja ya mizigo ndani ya WCB maana walikuja wakina Mboso na Zuchu wakatoboa lakini yeye bado aliendelea kuonekana kama msindikizaji!

Hakika pengine naweza kukubali kila kitu kina muda wake kabisa na kwa hakika pengine mwaka 2021 tena mwishoni umekuwa wakati mzuri kwake toka aanze kazi zake za muziki kwani kwa kipindi hiki kuanzia mwezi wa kumi kumekuwa na mabadilliko kwenye nyimbo zake na hata mapokeo ya nyimbo zake za Inatosha na Ng*ari ng*ari zimefanya vyema sana hapa nchini na kwa hakika naweza sema hasa Ng’ari ng’ari umekuwa wimbo bora sana kuanzia mtaani!

Kwa hakika naweza kusema Lava Lava kafunga vyema mwaka na Ng’ari Ng’ari na kwa kipindi hiki cha mwisho wa mwaka huu ndio unaweza kuwa ndio wimbo unaotamba sana ukiacha nyimbo zingine za wasanii!

Kwa kweli niwapongeze watanzania kwa kumvumilia huyu kijana na kumpa nafasi na sasa amepokelewa vyema japo kwa kuchelewa!

LavaLava mguu ulio amka nao mwisho wa mwaka huu usiuache!
Akipendwa na Mama yake Inatosha.
 
Daah bite point.
Tatizo NYOTA Hana.
Ila huyo bwege anaimba.
Kuna ile nyingi "NIKOMESHE"
 
Amepooza sana kama k za kule Riverside au Sudan temeke


Haiwezekani watoto wa dogo wa juzi kama kina mbosso zuchu wampite







By the way Pussy on period be good asf, Like D be walkin on red carpet
 
Lavalava yupo vzur sana..style ya nyimbo zake huwez zpata kwa mwingine TZ hii..mfwatilie utaona ..sie tunaye muelewa tunalijua hilo
 
Back
Top Bottom