Hatimaye Watanzania wamempata Pitso Mosimane wao Juma Mgunda (Guardiola Mnene)

Hatimaye Watanzania wamempata Pitso Mosimane wao Juma Mgunda (Guardiola Mnene)

Kaka Yaoh

Senior Member
Joined
Sep 23, 2021
Posts
190
Reaction score
361
Aliiongoza Coastal Union kucheza fainali ya kombe la FA. Inshaallah mwenyezi Mungu muweza wa yote akimpatia uzima na afya njema siku ya tarehe 16/10/2022 ataiongoza miamba ya soka ya Afrika Mashariki Simba Sc kutinga katika makundi ya ligi ya mabingwa Afrika.

Hakika Juma Mgunda ni dhahabu na lulu kwa hili taifa letu na afya ya soka letu kiujumla. Tunamtakia mafanikio mengi zaidi huko mbeleni. Na sisi kama Watanzania tufike mahala tusijivunie tena kuwa tuna Mlima wa Kilimanjaro pekee bali tujivunie tunae Juma Mgunda naye kama wenzetu wa kule South Africa wanavyojivunia Pitso Mosimane.
 

Attachments

  • Screenshot_20221012-165003.jpg
    Screenshot_20221012-165003.jpg
    20.1 KB · Views: 6
Ni suala tu la muda!
Timu ikianza kupokea vipigo na sare mfululizo, mtaanza tena zile kelele zenu.

Hata wale wazungu wenu wa kutoka Real Madrid na Getafe, mliwasifia hivi hivi! Ila mwisho wa siku mliishia tu kuwafukuzisha kupitia gubu lenu lisilo isha.
 
Ni suala tu la muda!
Timu ikianza kupokea vipigo na sare mfululizo, mtaanza tena zile kelele zenu.

Hata wale wazungu wenu wa kutoka Real Madrid na Getafe, mliwasifia hivi hivi! Ila mwisho wa siku mliishia tu kuwafukuzisha kupitia gubu lenu lisilo isha.

Natamani nimpondee Mgunda ila moyo unanisuta sana..kwa mda mfupi aliokaa simba ameonesha anakitu cha kimpira ambacho kinaweza kufanya watanzania kujivunia huyu mtu kama ataendelea kunoa moja ya hivi vikosi vyenye profile kubwa kariakoo
 
Aliiongoza Coastal Union kucheza fainali ya kombe la FA. Inshaallah mwenyezi Mungu muweza wa yote akimpatia uzima na afya njema siku ya tarehe 16/10/2022 ataiongoza miamba ya soka ya Afrika Mashariki Simba Sc kutinga katika makundi ya ligi ya mabingwa Afrika.

Hakika Juma Mgunda ni dhahabu na lulu kwa hili taifa letu na afya ya soka letu kiujumla. Tunamtakia mafanikio mengi zaidi huko mbeleni. Na sisi kama Watanzania tufike mahala tusijivunie tena kuwa tuna Mlima wa Kilimanjaro pekee bali tujivunie tunae Juma Mgunda naye kama wenzetu wa kule South Africa wanavyojivunia Pitso Mosimane.
ni vzr tukampa mda kuliko kumpa sifa kubwa km ya kumuita pitso huu mzig munaompa n mkubwa
 
Yule mzungu Zoran Maki pumbavu zake kabisa. Alitaka kuwaulia kwenye benchi Moses Phiri na Joash Onyango kwa chuki za kijinga kabisa.
 
Simba tafuteni kocha wamaana,,
Mgunda ni Matola mnene,,

Hana maajabu zaidi.
Unamuogopa..na huyu anazijua fitina za Simba na Yanga...tunatako kuondoka ile dhana ya tukutane tarehe......mnakalia safari hii...tunatoa ule mwiko pale nyuma ili kinyesi kitoke vizuri.
 
Kinachotakiwa ni kumuamini na kumpa ushirikiano kama wanavyopewaga makocha wa kigeni.
 
Ni suala tu la muda!
Timu ikianza kupokea vipigo na sare mfululizo, mtaanza tena zile kelele zenu.

Hata wale wazungu wenu wa kutoka Real Madrid na Getafe, mliwasifia hivi hivi! Ila mwisho wa siku mliishia tu kuwafukuzisha kupitia gubu lenu lisilo isha.
Mkitolewa huko CAFCL kisha mshindwe kwenda hata huko CAFCC kisha game ya trh 23 mpoteze, afakaekuwa wa kwanza kuondoka ni Nabi kabla ya Mgunda.
 
Back
Top Bottom