atafute mtoto kwanza...
haya ya wasomi awaachie wasomi
Yani kwake kutangaza sishangai,namshangaa huyo candidate!
Like seriously???
Wasomi wa siku hiiiiiiziiii!!
Ndio hadhi ya urais wa DARUSO ilipofika?
Enzi zangu huuuuuyu....................!
Yani kwake kutangaza sishangai,namshangaa huyo candidate!
Like seriously???
Wasomi wa siku hiiiiiiziiii!!
Ndio hadhi ya urais wa DARUSO ilipofika?
Enzi zangu huuuuuyu....................!
Sasa mwalimu mambo si yanabadilika... miaka uliyosoma wewe yalikua na vitu vyake... miaka niliosoma mimi kuna vitu vyake.. na sasa kuna ashki zake..... kampeni zinahamia instagram
atafute mtoto kwanza...
haya ya wasomi awaachie wasomi
Sasa mwalimu mambo si yanabadilika... miaka uliyosoma wewe yalikua na vitu vyake... miaka niliosoma mimi kuna vitu vyake.. na sasa kuna ashki zake..... kampeni zinahamia instagram
Nimekumiss!
ulishawahi gombea urais na wewe?:shocked:
Kweli mambo siku hizi yamebadilika zamani walikua Wana bandika picha isitoshe kampeni sio wote wanakua kwenye lecture room au mikusanyiko sioni tatizo mambo nowadays yamechange Sana.
sikuwahi ila rafiki yangu aligombea nikawa campaign manager.. zile moments acha tu
Enzi zile tulitumia Facebook.. insta ilikua bado.
Picha hiyo
atafute mtoto kwanza...
haya ya wasomi awaachie wasomi
Maneno mazito sana haya mkuu..atafute mtoto kwanza...
haya ya wasomi awaachie wasomi
kwanini asitafute ndoa kwanza?atafute mtoto kwanza...
haya ya wasomi awaachie wasomi