atafute mtoto kwanza...
haya ya wasomi awaachie wasomi
Asante kwa taarifa
Kwa kuwa umepata Unajiona Mjanjaaa mwenyewe ! Chunga sana ulimi wako ....hapo ndipo Mnapo boa Mumuwache
Vipi binamu, hapa uraisi unapatikana au ni sawa na kujipaka shombo?🙄
yuko wapi sasa hivi?
Kweli udsm yetu inadhalilishwa sana.
UDSM yako we nani.... hebu kakojoe ulale
UDSM yako we nani.... hebu kakojoe ulale
Aiseeee
atafute mtoto kwanza...
haya ya wasomi awaachie wasomi
We unao wangapi umezidi sasa kila mtu na plan yake.
snow!
unaongea kwa ukorofi aisee!
Inaonekana wakati ulipokuwa chuo, ulikuwa moto sana eenh!:lol:
haya Oddo!Sasa mwalimu mambo si yanabadilika... miaka uliyosoma wewe yalikua na vitu vyake... miaka niliosoma mimi kuna vitu vyake.. na sasa kuna ashki zake..... kampeni zinahamia instagram
Kashinda tichaaaa