Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Timu ya Yanga imefanikiwa kuuza tiketi zote za mzunguko katika kuelekea wiki ya Mwananchi. Wiki ya Mwananchi itafanyika jumapili ya agosti 4,2024 katika uwanja wa Benjamimi Mkapa.
Awali kulikuwa na utani mwingi sana kati ya watani hawa wawili Yanga na Simba juu ya ununuliwaji wa tiketi kuelekea katika matamasha yao makubwa ambayo yote yanafanyika ndani ya weeki hii.
Awali kulikuwa na utani mwingi sana kati ya watani hawa wawili Yanga na Simba juu ya ununuliwaji wa tiketi kuelekea katika matamasha yao makubwa ambayo yote yanafanyika ndani ya weeki hii.