Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zelensky alifikiri ulaya inauwezo wakumsaidia wakati EU nayenyewe inatafuta military guarantee kutoka US, aingereza yenyewe inahitaji msaada ya US na ni nchi bahili ambao haiwezi kutoa pesa za kuendeleza vita kwa mda mrefu imagine imetoa £1.4bn kwa Ukraine wakati US peke yake katoa $350bn tangu vita ianze kwahiyo ona jinsi US inavo hitajika..........Rais wa Marekani, Donald Trump amehutubia Congress na amesema Rais wa Ukraine, Volodymyr Oleksandrovych Zelenskyy amemuandikia barua na kukubali kurudi kwenye meza ya mazungumzo kuhusu kusaini mkataba wa kuuza madimu yake.
CREDIT: Aljazeera
umenena sawa mkuu hao ulaya hawana kitu bila marekaniZelensky alifikiri ulaya inauwezo wakumsaidia wakati EU nayenyewe inatafuta military guarantee kutoka US, aingereza yenyewe inahitaji msaada ya US na ni nchi bahili ambao haiwezi kutoa pesa za kuendeleza vita kwa mda mrefu imagine imetoa £1.4bn kwa Ukraine wakati US peke yake katoa $350bn tangu vita ianze kwahiyo ona jinsi US inavo hitajika..........
Kasha fanya big damage kwa bingwa wa dunia atalipia gharama kubwa kuitengeneza hiyo damage.Kujishusha muhimu,kushupaza shingo mwishowe litavunjika
Uongo,Zele hajafanya hivo
Kama Crimea imeenda na kuchukuliwa kibabe bila wao kufanya kitu unategemea niniZelensky alifikiri ulaya inauwezo wakumsaidia wakati EU nayenyewe inatafuta military guarantee kutoka US, aingereza yenyewe inahitaji msaada ya US na ni nchi bahili ambao haiwezi kutoa pesa za kuendeleza vita kwa mda mrefu imagine imetoa £1.4bn kwa Ukraine wakati US peke yake katoa $350bn tangu vita ianze kwahiyo ona jinsi US inavo hitajika..........
Tusimshangae Nyerere aliesaini Mwadui kwa 10% 😄 🤣Zele kadondoshe wino acha upumbafu... Na Marekani hawezi kukupa kinga ya ulinzi.. Anakuja kuchukua madini afidie deni lake
Kweli lugha ya kigeni ni ngumu...acha kutulisha matango pori.Rais wa Marekani, Donald Trump amehutubia Congress na amesema Rais wa Ukraine, Volodymyr Oleksandrovych Zelenskyy amemuandikia barua na kukubali kurudi kwenye meza ya mazungumzo kuhusu kusaini mkataba wa kuuza madimu yake.
CREDIT: Aljazeera
Unajifanya unajua wakati hakuna ulijualoKweli lugha ya kigeni ni ngumu...acha kutulisha matango pori.
Tuliza presha mkuu nilitaka tu ulete evidence kama hii hapa tufuatilie vizuri.Unajifanya unajua wakati hakuna ulijualo
![]()
Ukraine war latest: Trump tells Congress he 'appreciates' Zelensky's message on Ukraine peace
The US president read out a letter he said he'd received from his Ukrainian counterpart, in which he agreed to "come to the negotiating table".www.bbc.com