Hatinaye katarina wa karatu aamua kufunguka

Hatinaye katarina wa karatu aamua kufunguka

Sixv2

Senior Member
Joined
Mar 4, 2014
Posts
170
Reaction score
97
Msanii mchekeshaji katarina aamua kufunguka kuhusiana na na hali ya maisha kuwa ngumu, katarina katika ukurasa wake wa instagram kaamua kufunguka kwamba, baada ya maisha kuwa magumu kaamua kumuuliza mume wake km ana mchepuko wake wamuombe awakopeshe laki?[emoji23][emoji23][emoji23]
b4f7fd7b9ada0ce9396d30f298172870.jpg
 
Ukute mchepuko nae kakopa kutoka kwa buzi lake jingine. Kama mchepuko una lipa na yeye si atafute au kwa sasa mabuzi yameadimika pia?
 
Siku hizi mtu ana screen shot huko Insta kisha anakuja kufungua thd JF?! Dah! JF naihurumia!
Haya mambo wanataka wenyew uongoz wa jf siku hizi inapoteza ladha kabisa zamani ukiingia jf hukosi kitu kipya cha kujifunza lakini siku hizi mambo ndio kama hayo mkuu

Sent from my Phillips Savy
 
Haya mambo wanataka wenyew uongoz wa jf siku hizi inapoteza ladha kabisa zamani ukiingia jf hukosi kitu kipya cha kujifunza lakini siku hizi mambo ndio kama hayo mkuu

Sent from my Phillips Savy
Mkuu huyo dogo ni kama kisonono cha ubongo[emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Hivi siku hizi kuna UKIMWI?

Yawezekana wahusika wanauchukulia kama malaria kufuatia uwepo wa dawa zake za kupunguza makali, pia kuna kondomu, pia wengine wanacheza nao kamali.
 
Back
Top Bottom