Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
Hizo kesi zinakuwa hazina masirahi kwa CCM, Mtikira ameshakaa ukonga kwa mwaka mzima, mrema afungwi kwakuwa nakuwa amesema ukweli na baadae wanafuta kesi zao na kumwachia. lakini lets hope Dr. siraa bado yuko bungeni.
Kamanda huyo Jaji ni Jirani yako nini? Naona umeshajua kuwa hata toa hukumu nzuri kwa slaa...
Kama hali ndio hii kuna haja gani ya kuwa na Mahakama, slaa alikuwa na haja gani ya kuweka wakili iwapo anajua/anategemea kuwa Jaji siku ya kuhukumu atapendelea?
Baada ya maelezo yako mazuri hebu jikumbushe kuhusu sahihi yako
kwa kuongezea ni kuwa mrema huwa hafungwi kwa sababu ni CCM.
We believe haki itatendeka. I don't trust kwamba kote kumeoza. Huko mahakamani pia kuna watu wenye uchungu na nchi yao na wana kiu ya haki kabisa kama sisi. I hope this is not just hope!