Hatma ya kiwanda cha ngozi Arusha

Hatma ya kiwanda cha ngozi Arusha

Joined
May 8, 2014
Posts
73
Reaction score
10
Ni majumaa kadhaa zimepita toka kiwanda cha ngozi Arusha kufungwa kutokana na kuwa mazingira ya kiwanda hicho hakiridhishi kwa kukithiri uchafu na kutiririsha maji machafu kwenye maeneo ya makazi ya watu wanaokaa jirani na kiwanda hicho.
Lakini utatani ni; Kwanini kiwanda hicho kimefungwa kwa muda usiojulikana? Je, hadi sasa kimefunguliwa au bado?
Kwa yeyote anaejua kama kimefunguliwa au bado atueleze.
 
Ni majumaa kadhaa zimepita toka kiwanda cha ngozi Arusha kufungwa kutokana na kuwa mazingira ya kiwanda hicho hakiridhishi kwa kukithiri uchafu na kutiririsha maji machafu kwenye maeneo ya makazi ya watu wanaokaa jirani na kiwanda hicho.
Lakini utatani ni; Kwanini kiwanda hicho kimefungwa kwa muda usiojulikana? Je, hadi sasa kimefunguliwa au bado?
Kwa yeyote anaejua kama kimefunguliwa au bado atueleze.

mkuu kwani hujui sababu ya kitu kufungwa kwa mda usiojulikana?
 
Back
Top Bottom