Hatma ya maisha baada ya tukio hili

 
Mbona umekomaa kujitetea kuwa 'linda liko fit' hapa napata wasiwasi mkuu.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji4]
 
Wewe ungekuwa na elimu unayojinasibishanayo usingeandika upuuzi huu.
Mkuu tofautisha Elimu na suala la kibaiyolojia..Hata wakina Eistein walipitiwa na vitu hivyo ila mie nimeomba ushauri.
 
Kawaida. Iliwahi nitokea nikiwa la5, kwa aibu nikamfokea dada wawatu, kumbe mwalimu ameshaniona. Mwalimu alichek hadi mwisho. Nilitokwa na jasho.
[emoji23] [emoji23] Tatizo watu viburi humu wanajinadi kama malaika ila hata wao wanahistoria nzuri tu.
 
unatakiwa urudi lecture room ukajambe ovyovyo wakuzowea tu.
 
Sifahamu utaratibu wa UDSM lakini walimu wakishatoa lecturer inakuwa kwenye model site fungua usome yakiyokupita na kama hujaelewa tuna email kwa mwalimu.

Kuwa so zina ni kukomaa kectures na uhakikishe unalamba A kwenye somo hilo
 
Sifahamu utaratibu wa UDSM lakini walimu wakishatoa lecturer inakuwa kwenye model site fungua usome yakiyokupita na kama hujaelewa tuna email kwa mwalimu.

Kuwa so zina ni kukomaa kectures na uhakikishe unalamba A kwenye somo hilo
Asante mkuu ,ushauri makini sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…