KING ASSENGA
JF-Expert Member
- Oct 8, 2016
- 928
- 1,478
Huenda nitakuwa nimekukwaza ila ukweli kabisa kwenye matumizi ya akili ndefu haupo kabisa . Hauna umakini wa kuchekecha akili. Huna akili za kutumia wengine kufikia mafanikio bali wewe unatumika kirahisi sana japo ni jeuri unajiamini sana ila kiakili umelala sana mpaka huyo mwanamke ambaye ushamjua ana akili kiasi gani unashindwa kumfelisha kwenye njia zake anazopita . Yaani yeye anakuchora na wewe unatapika yote .
Kiufupi umekuwa kama mjinga anayejiAmini kwenye hiyo familia . Usipotumia akili huyo mrembo caren anakuweka kwapani kabisa.
Hao niachiwe mimi najuwa kuwa handle namtangulia kwenye lile analowaza yeye kabla ya kutenda nishamzuia nampoteza kujua taarifa zangu akitafuta anapata feki
Ila endelea unanafasi ya kubadilika . Uanze kujidefend kwa akili uanze kucheza nao mchezo wa draft sio wao kukuchezesha tu wanavyotaka
Kiufupi umekuwa kama mjinga anayejiAmini kwenye hiyo familia . Usipotumia akili huyo mrembo caren anakuweka kwapani kabisa.
Hao niachiwe mimi najuwa kuwa handle namtangulia kwenye lile analowaza yeye kabla ya kutenda nishamzuia nampoteza kujua taarifa zangu akitafuta anapata feki
Ila endelea unanafasi ya kubadilika . Uanze kujidefend kwa akili uanze kucheza nao mchezo wa draft sio wao kukuchezesha tu wanavyotaka