Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Wewe Alwatani humu, taarifa ya kuachiwa Tajiri kutoka kifungoni huwezi kuikosa. Sisi wengine matukio yanatupita
Oi BM hiyo episode 3 bado tu au ndio mpaka ipate pa kuishia ndio uitundike humu?
 
boss umetupigisha kura weeee half hautuambii nini kimehappen haujatutendea haki
Mkuu wala usijali, kuhusu vili-happen niseme tu vimehappen vitu vingi sana yani sana, mambo yalienda zigzaga kile nilichokipanga hata hakijatokea labda naweza sema kimetokea kile Mungu alichokipanga so ilibidi niende na flow

All in All I'm out of trouble lakini hapo katikati mambo yalikuwa ni mengi

By the way Leo Uzi umefikisha Mwaka, Uzi ulianzishwa mwezi na tarehe kama ya leo Mwaka jana, hopefully haitafika mwezi August Season 3 itakuwa imeanza, so ngoja tuone venye itakuwa
 
ISIDINGO ya ITV imefika mwisho mwaka Jana kama sijakosea, sasa wewe sijui hii story yako inaisha lini... Au hii ni reality show kama ya Paula na kajala
Season 3 ni mwezi ujao... Two weeks to go...
 
ISIDINGO ya ITV imefika mwisho mwaka Jana kama sijakosea, sasa wewe sijui hii story yako inaisha lini... Au hii ni reality show kama ya Paula na kajala
Isidingo imechukua miaka mingapi hadi inaisha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…