Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Mwamba VP mbona hutumi mwendelezo au caren,ameshikilia simu yako
 
Ndiyo
 
iwe story ya kweli au uongo
Nawashauri vijana msipende ku-share mishemishe zenu ktk mitandao, dunia ni kijiji usimuone mama yako anatumia cm ya tochi ukadhani hajui kinacho endelea Jf twta ig fb wasap.

Mnajiharibia tu kuweni na vifua
Fafanua Mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…