Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,876
- 7,118
Ila mwakani imeshafika mkuu jitahidi ushushe episode ya January afu nyingine hata ukileta February fresh tu[emoji28]Dah, nimecheka sana. Sio uvivu ndugu ni muda halafu hii story sio kuandika tu. Inataka utulivu sana
Sawa mkuu, naanza kuandika leo usiku, hata hivyo hii January mwishoni nitakuwa free sana Ofisi yetu ya china inafungwa so kutakuwa hakuna kazi kwa muda wa kama wiki au wiki mbiliIla mwakani imeshafika mkuu jitahidi ushushe episode ya January afu nyingine hata ukileta February fresh tu[emoji28]
Sawa mkuu jitahidiSawa mkuu, naanza kuandika leo usiku, hata hivyo hii January mwishoni nitakuwa free sana Ofisi yetu ya china inafungwa so kutakuwa hakuna kazi kwa muda wa kama wiki au wiki mbili
Tatizo ni muda naona watu wananiita mvivu hadi nahisi vibaya
Ni tag ya don't shout outtafuta stiry ya jamaa mmoja inaitwa niliemdhania kahaba kumbe bikra pia kuna moja inaitwa do not shout out nayo iko poa jamaa ndio mvivu kama huyu.
Sawa mkuu, naanza kuandika leo usiku, hata hivyo hii January mwishoni nitakuwa free sana Ofisi yetu ya china inafungwa so kutakuwa hakuna kazi kwa muda wa kama wiki au wiki mbili
Tatizo ni muda naona watu wananiita mvivu hadi nahisi vibaya
Mm nampenda Michel Bm 6x nifanyie mpangoNishakua addicted yani,haswa na huyo Binti Caryn[emoji28][emoji28]
Haha Michelle si ashachukuliwa na jamaa aliyetaka kumpa gari BM X6 apige UberMm nampenda Michel Bm 6x nifanyie mpango
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nasikia hadi ma mods nao wanamtafuta amalizie story
Hahaaaa
We jamaa muongo SanaaSawa mkuu, naanza kuandika leo usiku, hata hivyo hii January mwishoni nitakuwa free sana Ofisi yetu ya china inafungwa so kutakuwa hakuna kazi kwa muda wa kama wiki au wiki mbili
Tatizo ni muda naona watu wananiita mvivu hadi nahisi vibaya