Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Hii part ya kioo cha gari ni kama nimeshawahi kukisoma sehemu zilizotangulia
Yeah Kuna kipindi nilikaa muda mrefu bila kuleta muendelezo Sasa raia humu kama kawaida yao wakauliza vipi mbona kimya ndio nikawadokeza kwamba nilipata majanga haya ndio maana nikapoa kwa muda maana nilikuwa na stress mpunga ulinitoka mrefu nilikuwa Sina hata hamu ya kuingia humu
 
hii mara ya pili anapasua ile ya kwanza alifix ila mvua ikamuumbua [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni moja tu...kule mwanzo nilieleza kama kidokezo tu majanga yaliyonipata maana nilikaa muda mrefu bila kuleta muendelezo, lakini kwenye story yenyewe nilikuwa sijafikia hicho kipande

Next episode Nadhani ndio nitaeleza jinsi mvua ilivyonitoa nishai
 
Ni moja tu...kule mwanzo nilieleza kama kidokezo tu majanga yaliyonipata maana nilikaa muda mrefu bila kuleta muendelezo, lakini kwenye story yenyewe nilikuwa sijafikia hicho kipande

Next episode Nadhani ndio nitaeleza jinsi mvua ilivyonitoa nishai
Haya mambo ya kugonga gari za watu kma sio dereva huwezi jua maumivu yake aisee
Yni hayaelezeki

Niligonga gari ya mzee bahati mbaya kipindi ndo kwanza napata leseni Mzee akakataa kabisaa nimuendeshe ila saivi mambo ni mazuri sanaaa
 
Sema Caryn ukimzingua havungi anakuchana on the spot hata kama mlikua mnacheka dakika kadhaa nyuma
 
Pole
 
Aisee tokea nasoma huu uzi...napata munkari ya kutafuta pesa kwa fujo sanaa...mtt wa kike kunizidi hela huwa nachanganyikiwa...saf sana tutafute pesa...mwanangu akiwa mkubwa nataman awe kama crn...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…