Kama mambo yata enda kwa desturi, uwezekano wa kupata Rais mprotestanti Tanzania ni kati ya miaka 20-30 kutoka 2015.
Miaka 10 - 20 kwa awamu ya sasa, na miaka 10 kwa awamu inayofuatia ambayo atapewa kijiti Rais muislamu.
So mpaka 2035-2045. Na hiyo 2035-2045 bado kuna uwezekano mdogo wa kupata Rais mprotestanti Tanzania.
So kuna uwezekano wa watu wengi kutokuona Rais mprotestanti maisha yao yote.
Since theluthi ya watanzania ni waprotestanti, kuna umuhimu wa waprotestanti kupata theluthi ya miaka ya urais. Wakatoliki nao wakapata theluthi yao, na waislamu theluthi yao. Hili ni jambo ambalo watanzania wema wana takiwa wali unge mkono, ili kuwe na utambarare wa kisiasa.
Kutokuwa na Rais mprotestanti kuna weza kuleta political marginalisation ya makabila yenye waprotestanti wengi. Pia kuna weza kudhoofisha uprotestanti Tanzania.
Kwa mfano sasa hivi ukiangalia kwa sababu mbali mbali, baadhi ya vinara wa kisiasa au kiuchumi kutoka madhehebu kadhaa ya kiprotestanti wako jela, au wako under surveillance, au biashara zao zimewashinda.
Kama kungekuwa na Rais mstaafu mprotestanti ingekuwa vigumu kufanya hivi. Kwa sababu katika kipindi chake cha urais angekuwa na system ya kiprotestanti kuanzia ikulu, kwenye chama, kwenye mahakama, kwenye JWTZ, kwenye special force, kwenye millitary intelligence, kwenye polisi/ffu, kwenye magereza, kwenye TISS, kwenye presidential guard, kwenye mgambo, kwenye civil service, kwenye vyuo vikuu (maprofessa na madokta wakiprotestanti) etc.
Na hii system inge saidia mprotestanti waku hukumiwa ahukumiwe na waku achiwa aachiwe kwa haki.
Issue nyingine ni kwamba uprotestanti uko karibu na mafundisho ya biblia. Kwa hiyo uki udhoofisha ni sawa na unadhoofisha injili ya Yesu, na una msaidia Shetani.
Wakoloni wali wapendelea waprotestanti, na baadhi ya waprotestanti huwa wana mapungufu, kama, majivuno, kujionyesha, tamaa ya mali, uzinzi etc. So mapito waliyo yapitia baada ya uhuru yali lenga ku boresha tabia zao, na kuzifanya ziwe nzuri.
Rais mprotestanti sio lazima, cha muhimu ni kuwa na amani, haki na upendo. Na ku avoid mfumo wa kisiasa na wa kimaisha unao ipinga injili ya Bwana Yahushua Masiha (na sabato yake takatifu ya siku ya saba) hapa Tanzania.
Miaka 10 - 20 kwa awamu ya sasa, na miaka 10 kwa awamu inayofuatia ambayo atapewa kijiti Rais muislamu.
So mpaka 2035-2045. Na hiyo 2035-2045 bado kuna uwezekano mdogo wa kupata Rais mprotestanti Tanzania.
So kuna uwezekano wa watu wengi kutokuona Rais mprotestanti maisha yao yote.
Since theluthi ya watanzania ni waprotestanti, kuna umuhimu wa waprotestanti kupata theluthi ya miaka ya urais. Wakatoliki nao wakapata theluthi yao, na waislamu theluthi yao. Hili ni jambo ambalo watanzania wema wana takiwa wali unge mkono, ili kuwe na utambarare wa kisiasa.
Kutokuwa na Rais mprotestanti kuna weza kuleta political marginalisation ya makabila yenye waprotestanti wengi. Pia kuna weza kudhoofisha uprotestanti Tanzania.
Kwa mfano sasa hivi ukiangalia kwa sababu mbali mbali, baadhi ya vinara wa kisiasa au kiuchumi kutoka madhehebu kadhaa ya kiprotestanti wako jela, au wako under surveillance, au biashara zao zimewashinda.
Kama kungekuwa na Rais mstaafu mprotestanti ingekuwa vigumu kufanya hivi. Kwa sababu katika kipindi chake cha urais angekuwa na system ya kiprotestanti kuanzia ikulu, kwenye chama, kwenye mahakama, kwenye JWTZ, kwenye special force, kwenye millitary intelligence, kwenye polisi/ffu, kwenye magereza, kwenye TISS, kwenye presidential guard, kwenye mgambo, kwenye civil service, kwenye vyuo vikuu (maprofessa na madokta wakiprotestanti) etc.
Na hii system inge saidia mprotestanti waku hukumiwa ahukumiwe na waku achiwa aachiwe kwa haki.
Issue nyingine ni kwamba uprotestanti uko karibu na mafundisho ya biblia. Kwa hiyo uki udhoofisha ni sawa na unadhoofisha injili ya Yesu, na una msaidia Shetani.
Wakoloni wali wapendelea waprotestanti, na baadhi ya waprotestanti huwa wana mapungufu, kama, majivuno, kujionyesha, tamaa ya mali, uzinzi etc. So mapito waliyo yapitia baada ya uhuru yali lenga ku boresha tabia zao, na kuzifanya ziwe nzuri.
Rais mprotestanti sio lazima, cha muhimu ni kuwa na amani, haki na upendo. Na ku avoid mfumo wa kisiasa na wa kimaisha unao ipinga injili ya Bwana Yahushua Masiha (na sabato yake takatifu ya siku ya saba) hapa Tanzania.