Nikiwa kama MTANZANIA mpenda haki na amani napenda kujua hatma ya shekh/kiongozi wangu Ponda Issa ponda, kwakua niko mbali na maeneo husika. Yeyeto aliye pata kuwepo/kusikia hatim ya shekh Ponda naomba anijuze. Nimimi mpenda haki kwanza Amani baadae
Anashtakiwa kwa ugaidi na uhaini, na kuna mpango wa kumkabidhi kwa Wamarekani apelekwe Guantanamo!
Wampeleke waone.
Nikiwa kama MTANZANIA mpenda haki na amani napenda kujua hatma ya shekh/kiongozi wangu Ponda Issa ponda, kwakua niko mbali na maeneo husika. Yeyeto aliye pata kuwepo/kusikia hatim ya shekh Ponda naomba anijuze. Nimimi mpenda haki kwanza Amani baadae
Anashtakiwa kwa ugaidi na uhaini, na kuna mpango wa kumkabidhi kwa Wamarekani apelekwe Guantanamo!
Nikiwa kama MTANZANIA mpenda haki na amani napenda kujua hatma ya shekh/kiongozi wangu Ponda Issa ponda, kwakua niko mbali na maeneo husika. Yeyeto aliye pata kuwepo/kusikia hatim ya shekh Ponda naomba anijuze. Nimimi mpenda haki kwanza Amani baadae
Ponda asipo achiwa huru na kufutiwa mashitaka, tutafanya dua, wadhurike woooooooooooooote wanaofanya aendelee kusota lupango. takbir
Usiongee kwa sautiLol kama ni kirahisi namna hiyo sijui wangezurika wangapi hadi sasa.
lazima atapewa mashitaka yaleyale yanayosemwa kila siku, kinachoshangaza ni kumgagania shekh ponda na wanamuachia Nchemba anaewaficha wauajiNikiwa kama MTANZANIA mpenda haki na amani napenda kujua hatma ya shekh/kiongozi wangu Ponda Issa ponda, kwakua niko mbali na maeneo husika. Yeyeto aliye pata kuwepo/kusikia hatim ya shekh Ponda naomba anijuze. Nimimi mpenda haki kwanza Amani baadae
Wampeleke waone.
baada ya 2015 tutakapopata serikali yenye kufuata haki na sheria kibao kitageuka, kila kitu kina mwishoBaada ya huo msukosuko kidogo alopata sasa anaweza kuachiwa nakupewa masharti kutoshiriki uchochezi wa aina yoyote akithibitika ni kifungo. Amehatia adabu huyo.
Anatahili akamalizie maisha kwake, huwa wanafia huko na kusingizia kauwawa kumbe ni umri na dhoruba, pia msongo wa
mawazo Jela/mahabusu sio pazuri wawaulize wajelajela na hasa Ndanda kosovo takuambieni.
Wampeleke waone.