Pre GE2025 Hatma ya Soka na wenzake waliotekwa ni shimo kwa CHADEMA?

Pre GE2025 Hatma ya Soka na wenzake waliotekwa ni shimo kwa CHADEMA?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
Machache lakini mazito
  1. Soka na wenzake wanasadikiwa kukamatwa na jeshi la polisi. Soka aliitwa kufuatilia pikipiki yake iliyopo polisi (ni vigumu raia kujua taarifa za kitabu cha RB cha polisi)
  2. Soka alitoa taarifa kuwa anafuatiliwa kukamatwa na hata alipokamatwa huko Iringa akielekea Mbeya alipewa maneno ya vitisho kutoka kwa askari anayefahamika kwamba WATAMALIZANA naye
  3. Mawakili walifungua kesi ya kutaka Soka aletwe mahakamani na hukumu ikatoka kwamba Jeshi la Polisi hawajamkamata na hawahusiki na upotevu wa Soka na wenzake...
Hayo yote yanatokea na tunaona ukimya mkubwa kutoka chama kikuu cha Upinzani CHADEMA.

Mpaka sasa, hakuna tamko la CHADEMA zaidi ya malalamiko.

Kuna dalili, CHADEMA imepoteza wafuasi wengi kutokana na kukwepa kujihusisha na wanachama wake (viongozi) wanaopotea na hata kudhuriwa na vyombo vya dola.

Je, haya yanayoendelea ni ashirio la kuporomoka kwa CHADEMA?

Je, bado CHADEMA ni chama mbadala kwa siasa za nchi yetu? How?

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Watu Wasiojulikana: Malisa aelezea tukio la kutekwa kwa Deus Soka na vijana wengine wawili wa CHADEMA

- Kuelekea 2025 - Tundu Lissu: Rais Samia, Kiongozi wetu Deus Soka Ametekwa, Hajulikani Alipo kwa Wiki Mbili
 
U
Machache lakini mazito
  1. Soka na wenzake wanasadikiwa kukamatwa na jeshi la polisi. Soka aliitwa kufuatilia pikipiki yake iliyopo polisi (ni vigumu raia kujua taarifa za kitabu cha RB cha polisi)
  2. Soka alitoa taarifa kuwa anafuatiliwa kukamatwa na hata alipokamatwa huko Iringa akielekea Mbeya alipewa maneno ya vitisho kutoka kwa askari anayefahamika kwamba WATAMALIZANA naye
  3. Mawakili walifungua kesi ya kutaka Soka aletwe mahakamani na hukumu ikatoka kwamba Jeshi la Polisi hawajamkamata na hawahusiki na upotevu wa Soka na wenzake...
Hayo yote yanatokea na tunaona ukimya mkubwa kutoka chama kikuu cha Upinzani CHADEMA.

Mpaka sasa, hakuna tamko la CHADEMA zaidi ya malalamiko.

Kuna dalili, CHADEMA imepoteza wafuasi wengi kutokana na kukwepa kujihusisha na wanachama wake (viongozi) wanaopotea na hata kudhuriwa na vyombo vya dola.

Je, haya yanayoendelea ni ashirio la kuporomoka kwa CHADEMA?

Je, bado CHADEMA ni chama mbadala kwa siasa za nchi yetu? How?

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Watu Wasiojulikana: Malisa aelezea tukio la kutekwa kwa Deus Soka na vijana wengine wawili wa CHADEMA

- Kuelekea 2025 - Tundu Lissu: Rais Samia, Kiongozi wetu Deus Soka Ametekwa, Hajulikani Alipo kwa Wiki Mbili
Ulitaka cdm wafanyeje zaidi ya walichofanya hadi hivi sasa?
 
Kweli mkuu chadema wanapwaya saana wanachama wanapotea wao kimya mpaka Dr slaa anawapa mchongo kuwa dogo tayari wanatia shaka saana...
 
Machache lakini mazito
  1. Soka na wenzake wanasadikiwa kukamatwa na jeshi la polisi. Soka aliitwa kufuatilia pikipiki yake iliyopo polisi (ni vigumu raia kujua taarifa za kitabu cha RB cha polisi)
  2. Soka alitoa taarifa kuwa anafuatiliwa kukamatwa na hata alipokamatwa huko Iringa akielekea Mbeya alipewa maneno ya vitisho kutoka kwa askari anayefahamika kwamba WATAMALIZANA naye
  3. Mawakili walifungua kesi ya kutaka Soka aletwe mahakamani na hukumu ikatoka kwamba Jeshi la Polisi hawajamkamata na hawahusiki na upotevu wa Soka na wenzake...
Hayo yote yanatokea na tunaona ukimya mkubwa kutoka chama kikuu cha Upinzani CHADEMA.

Mpaka sasa, hakuna tamko la CHADEMA zaidi ya malalamiko.

Kuna dalili, CHADEMA imepoteza wafuasi wengi kutokana na kukwepa kujihusisha na wanachama wake (viongozi) wanaopotea na hata kudhuriwa na vyombo vya dola.

Je, haya yanayoendelea ni ashirio la kuporomoka kwa CHADEMA?

Je, bado CHADEMA ni chama mbadala kwa siasa za nchi yetu? How?

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Watu Wasiojulikana: Malisa aelezea tukio la kutekwa kwa Deus Soka na vijana wengine wawili wa CHADEMA

- Kuelekea 2025 - Tundu Lissu: Rais Samia, Kiongozi wetu Deus Soka Ametekwa, Hajulikani Alipo kwa Wiki Mbili
Japo mimi si mfuasi wa Chama chochote cha Siasa, lakini naamini kuilaumu CHADEMA ni kuwaonea tu! Imeshafanya mengi sana ila tu huwa haipati support ya Watanganyika!
 
Machache lakini mazito
  1. Soka na wenzake wanasadikiwa kukamatwa na jeshi la polisi. Soka aliitwa kufuatilia pikipiki yake iliyopo polisi (ni vigumu raia kujua taarifa za kitabu cha RB cha polisi)
  2. Soka alitoa taarifa kuwa anafuatiliwa kukamatwa na hata alipokamatwa huko Iringa akielekea Mbeya alipewa maneno ya vitisho kutoka kwa askari anayefahamika kwamba WATAMALIZANA naye
  3. Mawakili walifungua kesi ya kutaka Soka aletwe mahakamani na hukumu ikatoka kwamba Jeshi la Polisi hawajamkamata na hawahusiki na upotevu wa Soka na wenzake...
Hayo yote yanatokea na tunaona ukimya mkubwa kutoka chama kikuu cha Upinzani CHADEMA.

Mpaka sasa, hakuna tamko la CHADEMA zaidi ya malalamiko.

Kuna dalili, CHADEMA imepoteza wafuasi wengi kutokana na kukwepa kujihusisha na wanachama wake (viongozi) wanaopotea na hata kudhuriwa na vyombo vya dola.

Je, haya yanayoendelea ni ashirio la kuporomoka kwa CHADEMA?

Je, bado CHADEMA ni chama mbadala kwa siasa za nchi yetu? How?

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Watu Wasiojulikana: Malisa aelezea tukio la kutekwa kwa Deus Soka na vijana wengine wawili wa CHADEMA

- Kuelekea 2025 - Tundu Lissu: Rais Samia, Kiongozi wetu Deus Soka Ametekwa, Hajulikani Alipo kwa Wiki Mbili
mwenyekiti wa Chadema Taifa wakati akizungumza na waandishi wa habari alidai vyombo vyake vya kiuchunguzi vinafaahamu waliko waliotekwa, na vinawafahamu kwa majina watekaji....

haya mambo ya kusadikika umeyatoa wapi tena?

Inamaana unataka kuthibitisha kwamba mwenyekiti wa Chadema alikua anawahadaa wale ndungu waliopotelewa na nduguzo kwenye kamera za waandishi wa habari, na kwamba alikua anaeleza vitu vya kusadikika tu, na hapakua na ukweli wowote, right?

halafu,
mbona baada ya kutoka mahakamani yule wakili wa Chadema mpenda kiki sijui anaitwa madrika akanywea na kua mdogo kama sisimizi, hakua na mbwembwe kama alivyokua anaenda mahakamani?
kwa mbwembwe hizi hizi na siasa kwenye mambo ya msingi kijana wa babati akapoteza haki zake?

ndrugu zangu,
mambo serious yanayohusu maisha na utu wa mtu, si vizuri kufanya mzaha, kuleta siasa, kuchochea taharuki na kutegemea huruma ya jamii fulani mitandaoni,

kwanini mnahadaa familia zilizopotelewa na nduguzo ndrugu zangu? inaeezekana mnafaidika, lakini mnafurahia kweli kunufaika na hadaa kwa wenye uchungu?🐒

kuweni wastarabu,
kuweni wastahimilivu na wenye subra, vyombo vya uchunguzi vya ulinzi na usalama vinafanya kazi yake na taarifa itatolewa 🐒
 
Kweli mkuu chadema wanapwaya saana wanachama wanapotea wao kimya mpaka Dr slaa anawapa mchongo kuwa dogo tayari wanatia shaka saana...
Tekeni na wauweni tu ila damu za mnaowauwa zikiwafika kooni mtaropoka Kama DC longido.
 
Machache lakini mazito
  1. Soka na wenzake wanasadikiwa kukamatwa na jeshi la polisi. Soka aliitwa kufuatilia pikipiki yake iliyopo polisi (ni vigumu raia kujua taarifa za kitabu cha RB cha polisi)
  2. Soka alitoa taarifa kuwa anafuatiliwa kukamatwa na hata alipokamatwa huko Iringa akielekea Mbeya alipewa maneno ya vitisho kutoka kwa askari anayefahamika kwamba WATAMALIZANA naye
  3. Mawakili walifungua kesi ya kutaka Soka aletwe mahakamani na hukumu ikatoka kwamba Jeshi la Polisi hawajamkamata na hawahusiki na upotevu wa Soka na wenzake...
Hayo yote yanatokea na tunaona ukimya mkubwa kutoka chama kikuu cha Upinzani CHADEMA.

Mpaka sasa, hakuna tamko la CHADEMA zaidi ya malalamiko.

Kuna dalili, CHADEMA imepoteza wafuasi wengi kutokana na kukwepa kujihusisha na wanachama wake (viongozi) wanaopotea na hata kudhuriwa na vyombo vya dola.

Je, haya yanayoendelea ni ashirio la kuporomoka kwa CHADEMA?

Je, bado CHADEMA ni chama mbadala kwa siasa za nchi yetu? How?

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Watu Wasiojulikana: Malisa aelezea tukio la kutekwa kwa Deus Soka na vijana wengine wawili wa CHADEMA

- Kuelekea 2025 - Tundu Lissu: Rais Samia, Kiongozi wetu Deus Soka Ametekwa, Hajulikani Alipo kwa Wiki Mbili
Yaani Mungu ni Mwema siku zote...
Mwenyezi Mungu hataacha hili lipite hivi hivi.

Kuna jambo jipya Mungu atalifanya soon
 
Tekeni na wauweni tu ila damu za mnaowauwa zikiwafika kooni mtaropoka Kama DC longido.


23 ni siku njema sana kwa watu wenye moyo safi na ni siku mbaya kwa wauaji waliokalia ofisi za umma.

Maaskofu nao eti wameota mikia .

Ok, mkia ni mkia , usikatwe mana unasaidia kufukuza NZI
 
Machache lakini mazito
  1. Soka na wenzake wanasadikiwa kukamatwa na jeshi la polisi. Soka aliitwa kufuatilia pikipiki yake iliyopo polisi (ni vigumu raia kujua taarifa za kitabu cha RB cha polisi)
  2. Soka alitoa taarifa kuwa anafuatiliwa kukamatwa na hata alipokamatwa huko Iringa akielekea Mbeya alipewa maneno ya vitisho kutoka kwa askari anayefahamika kwamba WATAMALIZANA naye
  3. Mawakili walifungua kesi ya kutaka Soka aletwe mahakamani na hukumu ikatoka kwamba Jeshi la Polisi hawajamkamata na hawahusiki na upotevu wa Soka na wenzake...
Hayo yote yanatokea na tunaona ukimya mkubwa kutoka chama kikuu cha Upinzani CHADEMA.

Mpaka sasa, hakuna tamko la CHADEMA zaidi ya malalamiko.

Kuna dalili, CHADEMA imepoteza wafuasi wengi kutokana na kukwepa kujihusisha na wanachama wake (viongozi) wanaopotea na hata kudhuriwa na vyombo vya dola.

Je, haya yanayoendelea ni ashirio la kuporomoka kwa CHADEMA?

Je, bado CHADEMA ni chama mbadala kwa siasa za nchi yetu? How?

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Watu Wasiojulikana: Malisa aelezea tukio la kutekwa kwa Deus Soka na vijana wengine wawili wa CHADEMA

- Kuelekea 2025 - Tundu Lissu: Rais Samia, Kiongozi wetu Deus Soka Ametekwa, Hajulikani Alipo kwa Wiki Mbili


"We were forced to form a Paramilitary Wing of uMkhonto we Sizwe within the ANC because the Government of Whites Minorities of South Africa was terrorising us by using the State Security Forces."

Oliver Reginald Tambo, former President of African National Congress (ANC) from 1967 to 1993.
 
Back
Top Bottom