Inevitable
Senior Member
- Apr 27, 2012
- 111
- 277
Vyanzo vya ndani vinadai Ubunge wa kina Halima unaweza kuisha leo kwani Bunge limeshafanya maamuzi.
Tusubiri, ni muda mchache ujao
Tusubiri, ni muda mchache ujao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulipaswa kuisha kitambo sana kama tusingekuwa na spika asiye na aibu.Vyanzo vya ndani vinadai Ubunge wa kina Halima unaweza kuisha leo kwani Bunge limeshafanya maamuzi.
Tusubiri, ni muda mchache ujao
So ndio maana mikosi imemuandamaUlipaswa kuisha kitambo sana kama tusingekuwa na spika asiye na aibu.
Amin amin nawaambieni, kama tusipo wapuuza CHADEMA na kuwasahau masuala ya kina mdee hatuta pata katiba mpya. hawa kina mdee wana mchango gani wa maana katika nchi yetu mpaka masuala yao yafunike kilio chetu cha KATIBA?Vyanzo vya ndani vinadai Ubunge wa kina Halima unaweza kuisha leo kwani Bunge limeshafanya maamuzi.
Tusubiri, ni muda mchache ujao
Weka vifungu vya hiyo katiba manka,Hadi 2025
Chadema walisikiliza Rufaa nje ya muda wa kisheria kwae mujibu wa Katiba ya Chadema
Vyanzo vya ndani vinadai Ubunge wa kina Halima unaweza kuisha leo kwani Bunge limeshafanya maamuzi.
Tusubiri, ni muda mchache ujao
Let's wait and seeVyanzo vya ndani vinadai Ubunge wa kina Halima unaweza kuisha leo kwani Bunge limeshafanya maamuzi.
Tusubiri, ni muda mchache ujao
Siwapendi hao akina Mdee kutokana na jinsi walivyoingia bungeni ila ninapenda misimamo yao kwa kile wanachoamini ni haki yao.
Asilimia 20 tu ya watanzania tungekuwa na misimamo kama ya hawa akinamama ungekuta katiba mpya karibu inazeeka.
Itapendeza kama bunge litajirudishia angalau kidogo heshima yake lililopeteza kwa kuwafukuza bungeni hao wanawake.
Kwani katika wale 19 mama Junior ni mmoja wao maana uwamuzi wa kamati kuu umekukera sana.Let's wait and see
P
Hawa kina mdee wana mchango gani wa maana katika nchi yetu mpaka masuala yao yafunike kilio chetu cha KATIBA? Hii ni wiki ya pili sasa kila kona utasikia masuala ya kina mdee tuu ila ya KATIBA mpya yana toweka polepole
Hivi inatakiwa asiye na aibu au mwenye aibu[emoji848]Ulipaswa kuisha kitambo sana kama tusingekuwa na spika asiye na aibu.