Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
No mimi ni mpenda haki, nikiona dhulma na maonevu kwa wanaume naweza sipendi ila naweza kuvumilia, dhulma na maonevu vikifanywa kwa wanawake, naumia sana na siwezi kabisa kuvumilia, ila pia besides everything, we are all human beings na kila binadamu ana udhaifu wake, hivyo na mimi ni binadamu nina udhaifu wangu unaweza kunisoma hapa na uangalie ni liniKwani katika wale 19 mama Junior ni mmoja wao maana uwamuzi wa kamati kuu umekukera sana.
Halima Mdee on ITV Asubuhi Hii!.
Wanadodi, Mbunge wa Kawe, Mhe. Halima Mdee, yuko ITV akihojiwa live!. Kwa kuanzia, anazungumzia ushiriki wa timu ya Bunge la Tanzania katika michuonao ya timu za mabunge ya nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki, ambao timu ya bunge la Tanzania iliibuka kidedea!. Kwa ref. tuu, Halima Mdee ndie...
P