Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Kumetokea mapigano jijini Khartoum je Watanzania wenzetu waliopo huko wapo Salama? Au tutume ndege chap kwa haraka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majambia ndo yanapata kazi huko mida hiiPapa ibenge yupo salama kweli
Mimi ni mtafutaji mzuri na sikaagi nyumbani kwangu hata kidogo, yamkini kwa mwaka napatikana kwangu kwa mwezi mmoja tu kwa siku za kuunga uunga, niko mikoani kutafutia watoto, ila nchi yoyote yenye vita siendi hata kidogo pamoja na kwamba kifo au majeraha yapo mahala popote, ila siendi kutafuta maisha hukoKumetokea mapigano jijini Khartoum he Watanzania wenzetu waliopo huko wapo Salama? Au tutume ndege chap kwa haraka?
Itadunguliwa,wakiweza wakimbilie ubalozini kwetuKumetokea mapigano jijini Khartoum he Watanzania wenzetu waliopo huko wapo Salama? Au tutume ndege chap kwa haraka?
Achana na hyo kazi ya kuzururaMimi ni mtafutaji mzuri na sikaagi nyumbani kwangu hata kidogo, yamkini kwa mwaka napatika kwangu kwa mwezi mmoja tu kwa siku za kuunga uunga, niko mikoani kutafutia watoto, ila nchi yoyote yenye vita siendi hata kidogo pamoja na kwamba kifo au majeraha yapo mahala popote, ila siendi kutafuta maisha huko
Sidhani kama tuna ubalozi hukoItafunguliwa,wakiweza wakimbilie ubalozini kwetu
Watanzania wengi walioko Sudan hiyo ya waarabu wengi wanasomea uislamu vyuo vya kiislamu vya hapo SudanKumetokea mapigano jijini Khartoum he Watanzania wenzetu waliopo huko wapo Salama? Au tutume ndege chap kwa haraka?
Wanaweza wasishambulie misikiti, WAKASHAMBULIA HOSPITALI, SHULE. wavakobaz akili zao wanazijua wenyewe!Watanzania wengi walioko Sudan hiyo ya waarabu wengi wanasomea uislamu vyuo vya kiislamu vya hapo Sudan
Wanaopigana wote waislamu tena wamefunga Ramadhani.Na ikifika saa ya swala wote huswali
Na wote wakirushiana risasi na makombora utawasikia wakipiga kelele Allah Akbar kila upande
Misikiti na maeneo ya vyuo vya kiislamu wote pande zote wanayeheshimu sina hakuna upande ambao utashambulia hayo maeneo
Wako salama kwenye maeneo hayo
Kuzurura? Basi we ni mtoto wa mama, huwezi kuelewaAchana na hyo kazi ya kuzurura
Hata kama wapo ni kuwaacha tu walipuliwe na mabomu, we mtu mzima na akili timamu eti unaenda Sudan kuungana na Janjaweed kuua watu wasio na hatiaKumetokea mapigano jijini Khartoum je Watanzania wenzetu waliopo huko wapo Salama? Au tutume ndege chap kwa haraka?
KabisaWanaweza wasishambulie misikiti, WAKASHAMBULIA HOSPITALI, SHULE. wavakobaz akili zao wanazijua wenyewe!