wameongeza muda lkn ku-login ni historia! mpaka tar. 30/6 'cheking in progress' usoku majibu yakatoka lkn mbona niko ELIGIBLE na matokeo yangu HAYAPO? Nme-qualify kwa lipi ndugu zangu! mtandao umewashinda tcu. wangefanya kama loan board form printing, hii hawawezi hakika. watakwenda mpaka December kama walivojichanganya!!!! kazi kweli?