Kingo Janta
JF-Expert Member
- Feb 14, 2014
- 319
- 262
Mfilipino piquao atachakazwa vibaya sana kwenye raundi ya sita.Kutupatupa kwake ngumi za haraka kutaanza kumchosha anzia raundi ya nne.
Kingo Janta, siku ya mnada siyo siku sahihi ya kunenepesha ng'ombe wako!Wakati piquao yupo busy na mazoez ya kujiandaa na pambano many weather yupo anauza sura na warembo kuonyesha ubishoo wake