jikuTech
Senior Member
- Apr 9, 2023
- 108
- 159
Hatua 6 za Kubobea lugha flani ya compyuta
Siko mbali sana kwenye maana hii nimejitahidi kusema nilichokusudia
Computer is any electrical device that take input, process it and give out an output under certain special INSTRUCTIONS and store output for future use.
INSTRUCTIONS kwenye maana ya computer ndio hapo ipo programming, yaani mchakato wa kutengeneza INSTRUCTIONS za kutumiwa na computer.
Kuwa huru kuuliza swali lolote kuhusu programming ili kukuza ufahamu wako kuhusu programming kwa mtu yoyote aliye tayari kukusikiliza.
Mara mtu anapo hitaji kujifunza programming awe mwanafunzi au mtu yoyote swali huwa linakuja atajifunzaje na itawezekanaje yeye kubobea??
Watu hasa wanfunzi huangaika sana na hili kupata jinsi sahihi ya wao kujifunza programming language ( programming language maanayake lugha ya kompyuta) na wengine kuishia kujihangaisha kutamani kujifunza kwa ugumu ndani ya muda mfupi yaani fasta fasta kama wanavyokuwa wanazania wao kitu kinacho sababisha wabaki kuzunguka zunguka katika utangulizi au ujuzi wa awali bila wenyewe kujua.
Wengine wanajaribu kuruka hatua na kujaribu kujifunza hatua za mbele moja kwa moja lakini inakuwa haina msaada wowote na mwisho wa siku ni muhimu kufuata mfululizo wa hatua zinazotakiwa kuweza ujuzi wa programming kwa urahisi.
Kiukweli, Kuelekea kujifunza na kubobea programming language ni rahisi na inachukua hatua kadhaa za msingi lakini tatizo ni kwamba wengi hupuuzia jambo hili kitu kinacho tengeneza ugumu kwa upande wao.
Tuangalie hatua unazotakiwa kufuata ili kujifunza na kubobea programming language.
Unaweza kutumia vyanzo vingi vya kujifunza vinavyo pendekezwa kama vitabu, YouTube videos, blogu kwa ajili ya kutengeneza msingi imara
Unatakiwa kufahamu kwa undani nadhalia zote ndani ya programming kama vile Pointers, Dynamic Memory Allocation, File Management na Preprocessors kwenye lugha y C au nadhalia ya OOPs , Interface na Packages , Multi threading n.k kwenye JAVA.
Vile vile unatakiwa kupitia kuhusiana na Data Structure mfano Linked List, Stack,Queue, Heap n.k na Algorithms kwenye hatua hii ili kuwa bora zaidi. Kuna platform mbalimbali zipo kwenye mtandao kama vile GeekforGeeks, Javatpoint n.k ambako unaweza kujifunza mada hizi kwa upana zaidi.
Ukiwa mzuri katika hili utapata ujasiri. Kuna namna nyingi za kuimarisha ujuzi huu kama codding challenges.
Kutengeneza project zako mwenyewe ni jambo litakalo kufanya kubobea programming, vilevile unaweza ukachagua kuunda project ndogo na kubwa kwa kadiri unavyo jiskia na unavyo hitaji mwenyewe.
Mbinu bora ya kuunda project ya kuvutia na kibunifu kitu cha kwanza ni kufikiria kwanza tatizo au issue ambayo inaweza kutatulika kidijitali.
Hatua zifuatazo za kutatua tatizo au za kutengeneza project zinaweza kuwa msaada.
Imeandaliwa na JIKU TECH TIPS
Phone 0682329852
Tukutane katika makala ingine.
Siko mbali sana kwenye maana hii nimejitahidi kusema nilichokusudia
Computer is any electrical device that take input, process it and give out an output under certain special INSTRUCTIONS and store output for future use.
INSTRUCTIONS kwenye maana ya computer ndio hapo ipo programming, yaani mchakato wa kutengeneza INSTRUCTIONS za kutumiwa na computer.
Kuwa huru kuuliza swali lolote kuhusu programming ili kukuza ufahamu wako kuhusu programming kwa mtu yoyote aliye tayari kukusikiliza.
Mara mtu anapo hitaji kujifunza programming awe mwanafunzi au mtu yoyote swali huwa linakuja atajifunzaje na itawezekanaje yeye kubobea??
Watu hasa wanfunzi huangaika sana na hili kupata jinsi sahihi ya wao kujifunza programming language ( programming language maanayake lugha ya kompyuta) na wengine kuishia kujihangaisha kutamani kujifunza kwa ugumu ndani ya muda mfupi yaani fasta fasta kama wanavyokuwa wanazania wao kitu kinacho sababisha wabaki kuzunguka zunguka katika utangulizi au ujuzi wa awali bila wenyewe kujua.
Wengine wanajaribu kuruka hatua na kujaribu kujifunza hatua za mbele moja kwa moja lakini inakuwa haina msaada wowote na mwisho wa siku ni muhimu kufuata mfululizo wa hatua zinazotakiwa kuweza ujuzi wa programming kwa urahisi.
Kiukweli, Kuelekea kujifunza na kubobea programming language ni rahisi na inachukua hatua kadhaa za msingi lakini tatizo ni kwamba wengi hupuuzia jambo hili kitu kinacho tengeneza ugumu kwa upande wao.
Tuangalie hatua unazotakiwa kufuata ili kujifunza na kubobea programming language.
- Fanya uchaguzi wa lugha ya kompyuta kulingana na mahitaji yako.
- Elewa na tengeneza misingi yako kuhusiana na hiyo lugha uliochagua.
- Hama kutoka ujuzi wa awali kwenda ujuzi wa juu.
- Fanya mazoezi tena,tena na tena.
- Tengeneza projects ndogo na kubwa
- Shiriki code zako na ujuzi wako kwa watu wengine.
- Fanya uchaguzi wa lugha ya compyuta kulingana na mhitaji yako.
- Elewa na tengeneza misingi yako kuhusiana na hiyo lugha ulio ichagua.
Unaweza kutumia vyanzo vingi vya kujifunza vinavyo pendekezwa kama vitabu, YouTube videos, blogu kwa ajili ya kutengeneza msingi imara
- Hama kutoka ujuzi wa awali kwenda ujuzi wa juu.
Unatakiwa kufahamu kwa undani nadhalia zote ndani ya programming kama vile Pointers, Dynamic Memory Allocation, File Management na Preprocessors kwenye lugha y C au nadhalia ya OOPs , Interface na Packages , Multi threading n.k kwenye JAVA.
Vile vile unatakiwa kupitia kuhusiana na Data Structure mfano Linked List, Stack,Queue, Heap n.k na Algorithms kwenye hatua hii ili kuwa bora zaidi. Kuna platform mbalimbali zipo kwenye mtandao kama vile GeekforGeeks, Javatpoint n.k ambako unaweza kujifunza mada hizi kwa upana zaidi.
- Fanya mazoezi tena,tena na tena.
Ukiwa mzuri katika hili utapata ujasiri. Kuna namna nyingi za kuimarisha ujuzi huu kama codding challenges.
- Tengeneza projects ndogo hadi kubwa.
Kutengeneza project zako mwenyewe ni jambo litakalo kufanya kubobea programming, vilevile unaweza ukachagua kuunda project ndogo na kubwa kwa kadiri unavyo jiskia na unavyo hitaji mwenyewe.
Mbinu bora ya kuunda project ya kuvutia na kibunifu kitu cha kwanza ni kufikiria kwanza tatizo au issue ambayo inaweza kutatulika kidijitali.
Hatua zifuatazo za kutatua tatizo au za kutengeneza project zinaweza kuwa msaada.
- Tambua tatizo
- Elewa tatizo
- Orodhesha suluhisho zinazo wezekana
- Chambua suluhisho hizo kwa makini
- Chagua suluhisho ambayo imekuwa bora
- Tengenezea suluhisho mtindo kwa mpangilio
- Andaa algorithm
- Andaa utekelezaji wake
- Andika programu kuu
- Kagua programu katika vipengele mbalimbali
- Kagua na ondoa errors zote
- Hitimisha.
- Shiriki Code na Ujuzi wako kwa watu wengine .
Imeandaliwa na JIKU TECH TIPS
Phone 0682329852
Tukutane katika makala ingine.