Hatua hii ya Kenya itaiimarisha EAC

Deep down my heart i hate Kenyans, hata aje kiumbe gani, i will still hate them.
Bulldog ...that's goes to extreme! not everyone please!!!!....my wife is a Kenyan! She is beautiful, lovely and goodhearted!
 
Last edited by a moderator:
hongera kwa kukosa mke tanzania, wakenya wana attitude moja chafu sana towards tanzanians.

jana nlikuwa sehemu, kuna demu mmoja wa kenya akaja akawa anatoa maneno mabovu kuhusu tanzania na jakaya. aisee yule demu ataenda kuhadithia huko kwa wajaluo wenzake

Bulldog ...that's goes to extreme! not everyone please!!!!....my wife is a Kenyan! She is beautiful, lovely and goodhearted!
 
Haya mambo yoote yasingefika hapa kama PK na Rwanda yake wangekuwa nje ya huu muungano. mtu kama M7 leo hii kufanya mambo anayoyafanya kinyume cha TZ ni aibu kabisa. Uganda walikuwa ndugu na rafiki zetu tangu zama za vita ya kagera, eti anaongea kwa waandishi wa habari kwamba Northen corridor ni Nairobi - kampala - kigari - juba na central corridor ni dar- tabora - kigoma!!
 
May God protect this thread from becoming another arena for kenya vs tz rivarly. So far people are in harmony.
Peace EAC.
 

Urais wa EAST AFRICA unamvujisha udenda!
 
M7 ni msanii mahili, yeye ndiye alimshikiza PK ajiunge na EAC, tangu Rwanda ijiunge na EAC ndio tumeanza kushudia vurugu zisizo na tija, kwa nini? Nyerere na Mzee Kenyatta walikuwa na tofauti zao, lakini walikuwa wana heshimiana - leo hii Viongozi walio zaliwa juzi juzi hapa wanawakosea heshima Viongozi walio wazidi UMRI, wanafikia hatua ya kuwatishia maisha viongozi wenzao! Nani anataka kushirikiana na viongozi wenye kiburi na jeuri wasio shahurika. Hapa M7 anajitia kuzungumzia Projects zinazo husu Northern na Central Corridors as if zipo kweli!! Nani kampa madaraka/mamlaka ya kuwasemea Viongozi wa EAC - Je, anataka kusema kwamba aliyo zungumza na waandishi wa habari yaliwahi kujadiriwa na Viongozi wote wa EAC Tanzania included - jibu ni hapana? Binafsi naona hotuba ya Mh.JK alimshika pabaya M7 baada ya JK kuanika kila kitu adhalani basi watu wenye akili zao wamejua watu wenye matatizo i.e wavurugaji wa EAC ni akina nani, M7 anajitia kujibaraguza hapa kutokana na kuona aibu kutokana na matendo yake kuhusu Taifa letu.
 
wanafiki tu hawa serikali ikae nao chonjo wamekuja kuomba radhi halafu hapohapo wanaomba kuungwa mkono kwenye suala lao la kuhairishwa kesi ya ICC kwa mwaka! Kwa hiyo inamaanisha vituko vyoote walivyokuwa wanafanya kwa Tanzania sababu ni ICC! Wajinga kweli hawa..
 
Ha haha ahaha wabongo na siasa za longolongo hii imekula kwenu,Kenyata very smart maana kukomba cargo ya watu million zaidi ya 50 lazima uwe na akili sana,kila tani itakayopitia Mombasa hiyo ni $$$ kwa Kenya,kuna akili kama hiyo?na Reli ikifika Kigali ujue Burundi na Eastern Congo yote itaelekea Mombasa,no chance Kenyata akaachia hii golden chance,watu wako kimya projects zimeshaanza wabongo wametumiwa mrembo then wanashangilia eti hii itaimarisha uhusiano EA,same shit happened with gold contracts,power projects etc cha ajabu vilaza wanaongelea talaka na eti wanatuonea gere huku opportunity za kuiingizia nchi billions hawazioni...this is what make EA sio maneno tuu bila sisi hakuna EA.
 
Ni kweli? wewe ni punguani wa mwisho ati project imeanza na LAPSSET imeishia wapi vile? hamna kitu mnafanya! hata Eldoret-Kampala pipeline imeongelewa tangu 2003 mpaka leo no single inch has been added! Meanwhile in Tanzania songas pipeline 225 km has been built and running while Mtwara to Dar 524 km is underway

see below 142 km completed already while ur media keeps yapping



while modernization of central railway is underway in phases
 

Attachments

  • RIGHTER.png
    94.4 KB · Views: 60
jana nlikuwa sehemu, kuna demu mmoja wa kenya akaja akawa anatoa maneno mabovu kuhusu tanzania na jakaya. aisee yule demu ataenda kuhadithia huko kwa wajaluo wenzake

Kitu gani kilimtokea? Ulimwambia nini? ....ni lazima afunzwe kuwa yuko nchi ya watu na sio kuropoka hovyo!
 

nani akuombe radhi wewe na kwa mpango gani,mbona watu mnapenda kujifanya mna umuhimu sana katika maisha ya wengine?unga mkono or usiunge mkono nobody gives a fck with ICC and FYI hakuna mtu ataenda jela or kulipa fine
 
Hata kuongea tuu ni kuanza,umesoma wapi wewe?
Hiki ni Kiswahili nacho? Heri wewe uliyesoma! Back to the truth i have pasted the news many Kenyans don't like to hear

Lamu port works run into cash trouble

By Benard Sanga
Lamu, Kenya: Lamu port project has run into financial hitches and the Government now admits it will not beat the deadline for the construction of three berths currently underway.



The Government had projected that construction ofberths at Manda Bay would be completed by mid-next year, but it now says works have been delayed because of financial challenges “which are expected in such big projects.”
Infrastructure Principal Secretary John Mosonik, however, said a technical team in charge of the Lamu Port-Southern Sudan-Ethiopia Transport (Lapsset) was exploring ways of raising the required cash.
He also revealed that several multi-national companies were keen to invest in the project, but did not give the names odf the firms and how much they were pledging.
Change of heart
“As you are aware, the Government is expected to inject 30 per cent of the capital with rest expected to come from the private sector. But the technical team on the project (Lapsset secretariat) is working around the clock to resolve the matter,” he said.
In August, Southern Sudan indicated that it may opt to build a pipeline to Djibouti instead of Lamu, a move, experts said, may send the wrong signals to multi-national firms that had shown interest in the project. Speaking to The Standard in late August during the Infrastructural Summit in Mombasa, South Sudan’s Minister for Foreign Affairs and International Co-operation Barnaba Marial said they were still weighing the options on the best route to construct the pipeline.
This prompted President Uhuru Kenyatta to hold talks with Marial in Mombasa which led to his direction that the South Sudan-Lokichar-Hoima be integrated into the Lapset project.
Addressing the press after opening of the 10th Africa Road Maintenance Funds Association yesterday, Mosonik said Sh3 billion allocated in the budget for project was not enough and more funds were being sought.
The $23 billion Lapset project will comprise of a 20-berth port, railway line, modern highways, oil pipeline, airport, resort cities, oil refinery and other associated infrastructure
Meanwhile, Mosonik said there was need for African countries to come up with other innovative ways to raise funds to maintain roads.

He said the country was currently raising Sh300 million through the Road Maintenance Levy Fund which was far below the Sh80 billion required for road maintenance.
Standard Digital News - Kenya : Lamu port works run into cash trouble
 
Wewe nitakuita msomi mjinga maana unayoleta hapa ni ya kweli lakini hayahusiana hata chembe na hii thread.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…