Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
umeona alichoongelea Koba ati construction btn Kenya, Uganda and Rwanda! For how long we have heard of the same song while AfDB is about to release funds for Isaka-Kigali-Bujumbura to start 2014? U r being played with ur loud media full of bigotry and jingoism! I wonder where are Kenyans getting the audacity to talk down on Tanzanians probably from prejudice?Wewe nitakuita msomi mjinga maana unayoleta hapa ni ya kweli lakini hayahusiana hata chembe na hii thread.
umeona alichoongelea Koba ati construction btn Kenya, Uganda and Rwanda! For how long we have heard of the same song while AfDB is about to release funds for Isaka-Kigali-Bujumbura to start 2014? U r being played with ur loud media full of bigotry and jingoism! I wonder where are Kenyans getting the audacity to talk down on Tanzanians probably from prejudice?
It's rather lack of self confidence. Bragging is a mask for insecurity; such goes the saying!...I wonder where are Kenyans getting the audacity to talk down on Tanzanians probably from prejudice?
Deep down my heart i hate Kenyans, hata aje kiumbe gani, i will still hate them.
Mkuu hawa ni majirani zetu, hakuna sababu za kuwachukia, biblia inatufundisha " MPENDE JIRANI YAKO KAMA UNAVYOIPENDA NAFSI YAKO". tuishi kwa kuvumiliana.
Ni kweli? wewe ni punguani wa mwisho ati project imeanza na LAPSSET imeishia wapi vile? hamna kitu mnafanya! hata Eldoret-Kampala pipeline imeongelewa tangu 2003 mpaka leo no single inch has been added! Meanwhile in Tanzania songas pipeline 225 km has been built and running while Mtwara to Dar 524 km is underway
see below 142 km completed already while ur media keeps yapping
while modernization of central railway is underway in phases
Mimi ni mshabiki wa Africa moja nikiungana na mawazo ya wale wenye nia njema ya muungano wa Africa ambao uliasisiwa na Waheshimiwa sana Julius Nyerere, Muamar Gadafi, na Kwame Nkrumah. Pia naamini EAC ni mwanzo wa muungano wa Africa. Ukweli ni kwamba wapo watu ambao wengine ni sisi waafrika hasa wasomi ambao hatutaki kusikia swala la muungano huu maana utakua pigo kuu kwa wanyonyaji. Tukumbuke aliyasema Ngugi kwenye kitabu chake cha "I will marry when I want". Mfano mzuri ni namna Waziri wa mambo ya nnje wa Kenya alivyojitetea kwa niaba ya serikali yake au kwa jinsi alivyotumwa na Rais Kenyatta. Ukweli ni kwamba ukimsikiliza kwa makini ukapima na anachokisema na anavyokisema utagundua anatafuta kuungwa mkono kesi iondolewe ICC tu na si kuimarisha EAC.
Bado nia ya dhati haipo na kila mmoja anataka maslahi binafsi. Jamani Uingereza iko kwenye muungano wa EU lakini vipi vitu ambavyo hawakubaliani navyo tena vingi tu ila hawawahitengwa au kujitenga eti tunazungumzia maswala ya ukanda fulani ambao haumuhusu huyu, kauli aliyoitoa Uhuru Kenyatta kwa waandishi wa habari alipokua akiongea na wakenya wanaoishi Rwanda kuwa tulikua tunazungumzia maswala ya ukanda wa kaskazini tutakapokutana kwaajili ya maswala ya kusini tutaishirikisha Tanzania. Alafu leo tunaambiwa tumeiuunga mkono hotuba ya Kikwete kisha tunaomba tuungwe mkono hoja ya kuondoa kesi ICC hahhaaaaaa. Nadhani viongozi wa Tanzania walimsoma huyu mama vyema.
Pole sana na ushabiki wako wa africa moja ambayo kiuhalisia haipo!!Mimi ni mshabiki wa Africa moja nikiungana na mawazo ya wale wenye nia njema ya muungano wa Africa ambao uliasisiwa na Waheshimiwa sana Julius Nyerere, Muamar Gadafi, na Kwame Nkrumah. Pia naamini EAC ni mwanzo wa muungano wa Africa. Ukweli ni kwamba wapo watu ambao wengine ni sisi waafrika hasa wasomi ambao hatutaki kusikia swala la muungano huu maana utakua pigo kuu kwa wanyonyaji. Tukumbuke aliyasema Ngugi kwenye kitabu chake cha "I will marry when I want". Mfano mzuri ni namna Waziri wa mambo ya nnje wa Kenya alivyojitetea kwa niaba ya serikali yake au kwa jinsi alivyotumwa na Rais Kenyatta. Ukweli ni kwamba ukimsikiliza kwa makini ukapima na anachokisema na anavyokisema utagundua anatafuta kuungwa mkono kesi iondolewe ICC tu na si kuimarisha EAC.
Bado nia ya dhati haipo na kila mmoja anataka maslahi binafsi. Jamani Uingereza iko kwenye muungano wa EU lakini vipi vitu ambavyo hawakubaliani navyo tena vingi tu ila hawawahitengwa au kujitenga eti tunazungumzia maswala ya ukanda fulani ambao haumuhusu huyu, kauli aliyoitoa Uhuru Kenyatta kwa waandishi wa habari alipokua akiongea na wakenya wanaoishi Rwanda kuwa tulikua tunazungumzia maswala ya ukanda wa kaskazini tutakapokutana kwaajili ya maswala ya kusini tutaishirikisha Tanzania. Alafu leo tunaambiwa tumeiuunga mkono hotuba ya Kikwete kisha tunaomba tuungwe mkono hoja ya kuondoa kesi ICC hahhaaaaaa. Nadhani viongozi wa Tanzania walimsoma huyu mama vyema.
Acha kuleta habari zako za fiction hapa!!kama jiran yako ni mbaya unamchana tu siyo kumvungia,hao wakenya unaowatetea kuwa ni majirani zako unauhakika vikao vyao na pk na m7 walivifanya bila kujua kama wanakiuka mkataba au unafiki tu,fikiri kabla ya kuweka hoja yako mbele ya watu waelewa sawa!!Mkuu hawa ni majirani zetu, hakuna sababu za kuwachukia, biblia inatufundisha " MPENDE JIRANI YAKO KAMA UNAVYOIPENDA NAFSI YAKO". tuishi kwa kuvumiliana.
Acha kuleta habari zako za fiction hapa!!kama jiran yako ni mbaya unamchana tu siyo kumvungia,hao wakenya unaowatetea kuwa ni majirani zako unauhakika vikao vyao na pk na m7 walivifanya bila kujua kama wanakiuka mkataba au unafiki tu,fikiri kabla ya kuweka hoja yako mbele ya watu waelewa sawa!!
Acha kuleta habari zako za fiction hapa!!kama jiran yako ni mbaya unamchana tu siyo kumvungia,hao wakenya unaowatetea kuwa ni majirani zako unauhakika vikao vyao na pk na m7 walivifanya bila kujua kama wanakiuka mkataba au unafiki tu,fikiri kabla ya kuweka hoja yako mbele ya watu waelewa sawa!!