Jibaba Bonge
JF-Expert Member
- May 6, 2008
- 1,246
- 402
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imezibadilisha karatasi za kupigia kura.
Karatasi hizo sasa zitakuwa na nembo ya chama cha siasa cha mgombea.
NEC imeagiza kuwa, mchakato mzima wa uchaguzi ufanyike kwa uwazi.
Katika mabadiliko hayo, kwanza kutakuwa na nafasi ya jina, chama, nembo, picha na baadaye sehemu ya kuweka alama ya vema.
Karatasi za zamani zilikuwa na picha, jina na chini iliwekwa sehemu ya kuweka alama ya vema.
Karatasi hizo bado hazijasambazwa kwenye majimbo ya uchaguzi, zinachapishwa nchini Uingereza.
Source: Habari leo
Karatasi hizo sasa zitakuwa na nembo ya chama cha siasa cha mgombea.
NEC imeagiza kuwa, mchakato mzima wa uchaguzi ufanyike kwa uwazi.
Katika mabadiliko hayo, kwanza kutakuwa na nafasi ya jina, chama, nembo, picha na baadaye sehemu ya kuweka alama ya vema.
Karatasi za zamani zilikuwa na picha, jina na chini iliwekwa sehemu ya kuweka alama ya vema.
Karatasi hizo bado hazijasambazwa kwenye majimbo ya uchaguzi, zinachapishwa nchini Uingereza.
Source: Habari leo