Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,391
- 3,849
Nimesikitishwa na taarifa niliyopewa na jamaa mmoja aliyekopa kwenye hizi application zinazotoa mikopo kama hawa SWIFT FUND LOAN huenda hawana nidhamu, pia wanao waajiri ni vijana wasiojua namna ya ku handle wateja wao.
Jamaa anasema walimdai kwa matusi siku 2 kabla ya deadline ya kulipa mkopo wake. Kati ya sms nilizo muomba anipe kama ushahidi alizipokea ni hizi hapo nimeambatanisa, nilishangaa kuona kama hawa wamepewa kibali na benki kuu halafu wanafanya kazi wao wanatukana sana wakati mteja wao alikuwa hata hajazidisha siku
Aliendelea kujuza kwamba alizungumza na manager wao anayetumia namba +255699027592 kumripotia kuhusu hilo wala hakuhangaika ku apologize kwa makosa ya watu wake ndio akaona kama wamefanya vizuri.
Namba wanayotumia kuwadai wateja na kuwatukana ni 0699027530 hii namba inayosoma kwa jina la ZANGO TRADING LIMITED kwenye namba nyingine za customer care kuna 0789926646 inayosoma KISASI FINANCE COMPANY.
Baadae alibaini kuna utapeli na wizi mkubwa kwa hawa, serikali na BOT iwachukulie hatua watu kama hawa. Ni hatari sana kwa jamii yetu.
Jamaa anasema walimdai kwa matusi siku 2 kabla ya deadline ya kulipa mkopo wake. Kati ya sms nilizo muomba anipe kama ushahidi alizipokea ni hizi hapo nimeambatanisa, nilishangaa kuona kama hawa wamepewa kibali na benki kuu halafu wanafanya kazi wao wanatukana sana wakati mteja wao alikuwa hata hajazidisha siku
Aliendelea kujuza kwamba alizungumza na manager wao anayetumia namba +255699027592 kumripotia kuhusu hilo wala hakuhangaika ku apologize kwa makosa ya watu wake ndio akaona kama wamefanya vizuri.
Namba wanayotumia kuwadai wateja na kuwatukana ni 0699027530 hii namba inayosoma kwa jina la ZANGO TRADING LIMITED kwenye namba nyingine za customer care kuna 0789926646 inayosoma KISASI FINANCE COMPANY.
Baadae alibaini kuna utapeli na wizi mkubwa kwa hawa, serikali na BOT iwachukulie hatua watu kama hawa. Ni hatari sana kwa jamii yetu.