Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Simba ataanzia hatua ya juu zaidi yeye pamoja na wakubwa wenzake.Vipi kuhusu Simba
Au Rivasi gear utd[emoji23][emoji28].Ikiwezekana watakutana na vipers au Cape town City
Round ya kwanza timu zote zinapita. Kimbembe round ya pili pale unapokutana na waarabu 🤣🤣🤣🤣Haya haya mambo ni mengi muda ni mchache caf champions league hatua ya awali itafanyika mapema mwezi huu.
Ikumbukwe kuwa Yanga sc ni miongoni mwa timu zitajazoanzia hatua ya awali, huku Azam, Geita gold nazo zikianzia hatua ya awali kwenye Kombe la shirikisho barani Africa.
View attachment 2316503
Wanataka kinyee kiondoe kinyaa CAFCLDaah!wapumzisheni hawa kinyee fc..hata kidonda hakijapoa mnataka mpige kikiwa bdo kibich?
Kamq ndo team hii wanasema wanapeleka kimataifa naomba karia atoe tena tamko kweny kama ile ile ya maadili .. .inaweza kutunusuru na zahama huko mbeleniWanataka kinyee kiondoe kinyaa CAFCL
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Round ya kwanza timu zote zinapita. Kimbembe round ya pili pale unapokutana na waarabu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Vipers wanataka tena kuwakojoza AZIZA FC.
Tena ghetton Uganda, na nyumbani Bongoland.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Taarifa za kuwa simba inaanzia awali kasoro azam tusijaielewa imekaeje ni propaganda au ni ukweli.Haya haya mambo ni mengi muda ni mchache caf champions league hatua ya awali itafanyika mapema mwezi huu.
Ikumbukwe kuwa Yanga sc ni miongoni mwa timu zitajazoanzia hatua ya awali, huku Azam, Geita gold nazo zikianzia hatua ya awali kwenye Kombe la shirikisho barani Africa.
View attachment 2316503
Hakuna majitu majinga kama mashabiki ya nyau! Yaani hilo nalo yanaona Yanga kapotezaaaa! Ujinga wa kiwango cha lami!Daah!wapumzisheni hawa kinyee fc..hata kidonda hakijapoa mnataka mpige kikiwa bdo kibich?
Ni taarifa za kweli zipo kwenye mtandao wa CAF.Taarifa za kuwa simba inaanzia awali kasoro azam tusijaielewa imekaeje ni propaganda au ni ukweli.
Mwenye kujua.
acha dharauSimba ataanzia hatua ya juu zaidi yeye pamoja na wakubwa wenzake.
[emoji23][emoji23] nyie ni wa kawaida sana ila kiburi tuWanataka kinyee kiondoe kinyaa CAFCL
Kunywa maji mdogo angu..acha makasiriko.....ni kuilaibisha taifa tu kila game...ona mnafungwa sec 20Hakuna majitu majinga kama mashabiki ya nyau! Yaani hilo nalo yanaona Yanga kapotezaaaa! Ujinga wa kiwango cha lami!
Point of correction. Draw ni kesho trh9Haya haya mambo ni mengi muda ni mchache caf champions league hatua ya awali itafanyika mapema mwezi huu.
Ikumbukwe kuwa Yanga sc ni miongoni mwa timu zitajazoanzia hatua ya awali, huku Azam, Geita gold nazo zikianzia hatua ya awali kwenye Kombe la shirikisho barani Africa.
View attachment 2316503