Hatua ya Nusu Fainali Kombe la Shirikisho la Afrika

Hatua ya Nusu Fainali Kombe la Shirikisho la Afrika

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
Kila la heri yanga
20230517_073917.jpg
 
Kila la kheri. Huwa namuaamini sana coach nabi. Akimaliza dk 45 bila kufungwa tyu baasi fainali hiyo hapo
Tatizo ni kuwa, huwa wanapata nafasi elfu moja, wanatumia nusu nafasi.

Wakishindwa kutumia dk 15 za kwanza basi wadhamirie kumaliza game dk 45 za kwanza! Kinyume chake wakazanie suluhu
 
Tatizo ni kuwa, huwa wanapata nafasi elfu moja, wanatumia nusu nafasi.

Wakishindwa kutumia dk 15 za kwanza basi wadhamirie kumaliza game dk 45 za kwanza! Kinyume chake wakazanie suluhu
Sawa .lakini tulienda hivyo hivyo mpaka hapa tulipofika mkuu
Al hilali 1-1 dar kwao wakatupiga 1-0
Club Afrcains [0- 0] kwao tukawapiga kipind cha pili.
Monasteries fc [2-0] dar tukawapiga.
Mazembe kotekote
Wale Bamako walipogwa
 
pelekeni jukwaa sahihi tafadhali.
 
Sawa .lakini tulienda hivyo hivyo mpaka hapa tulipofika mkuu
Al hilali 1-1 dar kwao wakatupiga 1-0
Club Afrcains [0- 0] kwao tukawapiga kipind cha pili.
Monasteries fc [2-0] dar tukawapiga.
Mazembe kotekote
Wale Bamako walipogwa
Si umeona lakini kuwa game imeisha first half?
 
Back
Top Bottom