Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 1,278
- 797
Kila la heri yanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo ni kuwa, huwa wanapata nafasi elfu moja, wanatumia nusu nafasi.Kila la kheri. Huwa namuaamini sana coach nabi. Akimaliza dk 45 bila kufungwa tyu baasi fainali hiyo hapo
Sawa .lakini tulienda hivyo hivyo mpaka hapa tulipofika mkuuTatizo ni kuwa, huwa wanapata nafasi elfu moja, wanatumia nusu nafasi.
Wakishindwa kutumia dk 15 za kwanza basi wadhamirie kumaliza game dk 45 za kwanza! Kinyume chake wakazanie suluhu
Nafungua kishingo upandeTunawaomba Watani zetu na Ndugu zetu wa Damu kabisa Wamsimbazi wafungue Mioyo yao katika hili..
Si umeona lakini kuwa game imeisha first half?Sawa .lakini tulienda hivyo hivyo mpaka hapa tulipofika mkuu
Al hilali 1-1 dar kwao wakatupiga 1-0
Club Afrcains [0- 0] kwao tukawapiga kipind cha pili.
Monasteries fc [2-0] dar tukawapiga.
Mazembe kotekote
Wale Bamako walipogwa