Hatua za kimaisha zenye kuhitaji uvumilivu

Hatua za kimaisha zenye kuhitaji uvumilivu

Eloy Joel

Member
Joined
Aug 30, 2023
Posts
7
Reaction score
11
Kwanza kabisa Unaanza kwa kulelewa Yani kutegemea wazazi au sehemu yoyote unapopata Malezi.

Then inafika time unaanza jitegemea but sio totally kwa kuwa hapa utakuwa ukisumbua sana watu kwa kuomba omba pesa za kujikimu.

Baada ya Hapo sasa utaanza jitegemea totally Yani unapunguza kuomba omba unakuwa unaweza kujikimu Wewe kama wewe Lakini unakuwa huwezi kufanya vitu vya ziada.

Finally unajikuta umetanuka kimaendeleo Yani Hapo unakuwa na uwezo wa kujikimu Wewe kama wewe pamoja na watu wengine kama vile familia, Pia hapa unakuwa na uwezo wa kusaidia wengine.

Hizi ni Hatua zinazotaka uvumilivu sana Mana huchukua muda.

Wengi wanakwama na kuona maisha ni magumu kwakuwa wanashindwa kuzichanganua hizi hatua. Maisha yanakuwa magumu Pale unapokuwa katika hatua ya awali Lakini unataka ufanye na vitu vya ziada ambapo ni ngumu sana.

Just pray Everything will be okay 🙏
 
Kuna watu hawapitii magumu kabisa niamini
 
Ungeiweka kwa # hiyo ya 3 na 4 kuna vijana hawawezi kuzingatia hizo hatua kabisa.

Mf;unakuta ameaminiwa labda asimamie biashara ambayo wewe mmiliki umeijenga kwa muda mrefu na hujawahi hata kula faida yake lakini yeye atataka kwa muda mfupi amiliki simu nzuri,music mzuri ahonge wanawake wazuri alimradi vurugu mwisho mnaanza kutafutana ubaya.
 
Ungeiweka kwa # hiyo ya 3 na 4 kuna vijana hawawezi kuzingatia hizo hatua kabisa.

Mf;unakuta ameaminiwa labda asimamie biashara ambayo wewe mmiliki umeijenga kwa muda mrefu na hujawahi hata kula faida yake lakini yeye atataka kwa muda mfupi amiliki simu nzuri,music mzuri ahonge wanawake wazuri alimradi vurugu mwisho mnaanza kutafutana ubaya.
Ni changamoto sana.
 
Back
Top Bottom