Ladslaus Modest
JF-Expert Member
- Jun 27, 2008
- 635
- 27
Wapendwa Mods na wana JF, mie ninapendekeza hatua za kinidhamu zichukuliwe dhidi ya Mtu mmoja anayeandika thread za matusi na kuposti hapa JF tangia jana.
Kama inawezekana kuwepo na ombi maalum la mtu kujirejista, maana huu uhuru wa kujirejista ndio unaofanya baadhi ya wenzetu wasio na maadili kuandika matusi hapa.
Nawasilisha
Mchungaji Ladslaus
Mtimti,
Unafikiri huyo mtu ana shida na post nyingi? kafungua account mpya kwa ajili ya kutukana tu, ndiokwanza ana post 2. Nafikiri iwepo restriction sasa, ukitakakujiunga basi utume maombi maalumu. Maana tunatumia vibaya uhuru huu.
heshima yako mchungaji,
ulichosema ni kweli kabisa,naona jf inavamiwa sasa,huu uhuru naona wengine wanautumia vibaya
ushauri wangu
kama mtu unaona huna cha kupost basi ni vizuri kuwa msomaji tu,kwani hapa hakuna mashindano ya mabandiko wala hatutafuti mshindi wa bingwa wa mabandiko mengi,ustaarabu tuuweke mbele
mchungaji unakumbuka tuliambiwa tusamehe mara 70 ?? Ukipigwa shavu la kushoto mpe la kulia ??
Sasa unalalamika nini
Wapendwa Mods na wana JF, mie ninapendekeza hatua za kinidhamu zichukuliwe dhidi ya Mtu mmoja anayeandika thread za matusi na kuposti hapa JF tangia jana.
Kama inawezekana kuwepo na ombi maalum la mtu kujirejista, maana huu uhuru wa kujirejista ndio unaofanya baadhi ya wenzetu wasio na maadili kuandika matusi hapa.
Nawasilisha
Mchungaji Ladslaus
mchungaji unakumbuka tuliambiwa tusamehe mara 70 ?? Ukipigwa shavu la kushoto mpe la kulia ??
Sasa unalalamika nini