Hatua za kufa au kufariki

Hatua za kufa au kufariki

lugoda12

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
276
Reaction score
574
Hatua za kufa au kufariki
  • Kila kiumbe kitakufa.
  • Mwanadamu naye atakufa.
  • Kila kiumbe kina hatua yake ya mwisho na ndipo kinafikia kukufa.
  • Hakuna dawa ya kutokufa.

  • Ila zipo njia za kupunguza kufa mapema.
  • Kupiga kelele sana kunakafanya uzeeke mapema na kufa mapema.
  • Kushangilia sana kunakufanya uzeeke mapema na kufa mapema.
  • Kutembea kwa haraka haraka sana kunaweza kufanya ufe mapema.
  • Kuwa na mwili mdogo au mfupi kuna kufanya ufe mapema.
  • Kutoenda kuangalia afya yako mara kwa mara kunakufanya ufe mapema

  • Kulala vya kutosha kunakufanya uepuke kifo.
  • Kutembea umeinamisha shingo kunakufanya uepuke kifo.
  • Kucheka na kufurahia kwa kiasi kunakufanya uepuke kifo.
  • Kuongea kwa taratibu kunakufanya uepuke kifo.

  • Kula mboga mboga za asili kunachochea uishi mbali na kifo.
  • Mazoezi ya mwili kiasi kunachochea uishi mbali na kifo.
  • Kuzungukwa na watu bila kuingiliana nao kunakufanya uishi mbali na kifo.

  • Rafiki wa kifo ni umaskini
  • Rafiki wa kifo ni wanawake
  • Rafiki wa kifo ni madawa ya hospital
  • Rafiki wa kifo ni hofu na uwoga
  • Rafiki wa kifo ni siasa na serikali yako.

#SOS
 

Attachments

  • 64D992EA-FF79-430B-95EA-1F908F2551D1.jpeg
    64D992EA-FF79-430B-95EA-1F908F2551D1.jpeg
    77.2 KB · Views: 2
Dunia simama nishuke🤔🤔.
Hatua za kufa au kufariki
  • Kila kiumbe kitakufa.
  • Mwanadamu naye atakufa.
  • Kila kiumbe kina hatua yake ya mwisho na ndipo kinafikia kukufa.
  • Hakuna dawa ya kutokufa.

  • Ila zipo njia za kupunguza kufa mapema.
  • Kupiga kelele sana kunakafanya uzeeke mapema na kufa mapema.
  • Kushangilia sana kunakufanya uzeeke mapema na kufa mapema.
  • Kutembea kwa haraka haraka sana kunaweza kufanya ufe mapema.
  • Kuwa na mwili mdogo au mfupi kuna kufanya ufe mapema.
  • Kutoenda kuangalia afya yako mara kwa mara kunakufanya ufe mapema

  • Kulala vya kutosha kunakufanya uepuke kifo.
  • Kutembea umeinamisha shingo kunakufanya uepuke kifo.
  • Kucheka na kufurahia kwa kiasi kunakufanya uepuke kifo.
  • Kuongea kwa taratibu kunakufanya uepuke kifo.

  • Kula mboga mboga za asili kunachochea uishi mbali na kifo.
  • Mazoezi ya mwili kiasi kunachochea uishi mbali na kifo.
  • Kuzungukwa na watu bila kuingiliana nao kunakufanya uishi mbali na kifo.

  • Rafiki wa kifo ni umaskini
  • Rafiki wa kifo ni wanawake
  • Rafiki wa kifo ni madawa ya hospital
  • Rafiki wa kifo ni hofu na uwoga
  • Rafiki wa kifo ni siasa na serikali yako.

#SOS
 
Back
Top Bottom