Dolla_Mbili
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 1,207
- 2,981
Inategemea na mtaji wako. Na unataka kuanza kwa ukubwa gani?Habari wakuu,
Bila kuwapotezea muda kwa maneno mengi, ngoja niende moja kwa moja kwenye mada tajwa.
Naomba kupata ufafanuzi kwa anayejua namna ama hatua mpaka kupata kibali cha kufungua butcher ya vitoweo kama nyama na samaki, aidha kwa utaratibu wa vibali ama na mlolongo mzima kwa ujumla.
Leseni ya manispaa sawa, Je TRA ni nini kinahitajika mkuu!??TRA,leseni ya Manispaa Anza kazi
Kawaida tu, ila swala kubwa ninalotaka kujua ni vibali....Inategemea na mtaji wako. Na unataka kuanza kwa ukubwa gani?
Kawaida tu, ila swala kubwa ninalotaka kujua ni vibali....
Mtaji minimum ni sh ngp mkuuTRA,leseni ya Manispaa Anza kazi