Tetesi: Hatua za kufuata ili kumiliki shortgun

samuel Stuart

Member
Joined
Jun 16, 2017
Posts
46
Reaction score
14
Nina hitaj kuwa siraha kwajili ya ulinzi wangu na familia yangu nifanyeje ili niweze kupata
 
Kanunue kwanza Tanganyika arms. Nao wataitunza mpaka vibali vyako vitakapokamilika , Halafu risiti zako uende nazo kwa mwenyekiti mtaa wako, atakupa barua upereke kwa mtendaji wa kata , naye ana kamati yake itakayokupereka kwa OCD kwa ajili ya kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ambayo mwenyekiti wake ni DC na katbu wake ni ama TISS wa wilaya au OCD nao watakupendekeza kwa ile ya mkoa ambayo haina kazi sana. Kisha utapewa.
 
Tanganyika arms wapo wapi?
 
Una utajiri wa kiasi gani? Je umeshawahi kutishiwa maisha? Kwa nini unataka kumiliki silaha hatari? Je wewe sio mtu wa hasira? Maana unaweza ukajikuta umeitumia hiyo silaha pasipo kukusudia...
Think twice...
 
Muandishi umeishia darasa la ngapi!?

Hyo title yako ni kama wew ndo unatoa muongozo kumbe unaomba msaada!
 
Una utajiri wa kiasi gani? Je umeshawahi kutishiwa maisha? Kwa nini unataka kumiliki silaha hatari? Je wewe sio mtu wa hasira? Maana unaweza ukajikuta umeitumia hiyo silaha pasipo kukusudia...
Think twice...
Ushaur wako ni mzur
 
Kibongo bongo kumiliki silaha ni kujitafutia matatizo kuna njemba zikijua tu unamiliki silaha zitafanya juu chini zikunyang'anye na wanatokomea nayo.
 
Kibongo bongo kumiliki silaha ni kujitafutia matatizo kuna njemba zikijua tu unamiliki silaha zitafanya juu chini zikunyang'anye na wanatokomea nayo.
Duh sasa tufanyaje ili kujilinda na hawa jamaa wanao tulenga na kututishia maisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…