1.unatakiwa ujiridhishe kama muuzaji ndiye mmiliki halali wa kiwanja husika (angalia jina katika hati yake, kama ni la kwake)
2.angalia kama kiwanja husika kimewekwa rehani kwenye taasisi yoyote ya fedha,
3. kama kimepangishwa/kukodishwa
4. kama kina mgogoro wowote
5. kama kimelipiwa kodi ya ardhi na kodi nyinginezo
6. kama eneo lililopo halipo katika mkakati wowote wa serikali kubadilisha matumizi
7. kama kuna ridhaa ya mwenza wa muuzaji (mke au mme) endapo muuzaji atakuwa na mwenza wake na eneo tajwa ni mali ya familia
8. itu vingine unaweza angalia kwa macho
idara zinazohusika kaktika kufanikisha haya ni ofisi za ardhi/wizara ya ardhi kama upo dsm, halmashauri ya wilaya uliyopo, serikali za mtaa, mwanasheria, familia ya muuzaji na majirani pia.
kama utahitaji mwanasheria kwa msaada zaidi nicheki PM