Hatua za kufuata unapompatia kuku chanjo

Hatua za kufuata unapompatia kuku chanjo

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
1618403959775.png


- Nunua chanjo, kama inahitaji ubaridi hakikisha umefungiwa kwenye kifungashio Chenye barafu.

- Safisha vyombo vya maji vya kuweka chanjo yako na ikifaa viache vikauke. Kwa maji ya bomba, kisima na mvua inashauriwa yachemshwe na uyaache yapoe kabisa ndipo utachanganya na chanjo.

- Iwapo utatumia vidonge vya kutibu maji MFN Cevamune, Chlorex Blue, Vacc-Sure n.k. Utatakiwa kuloweka kidonge kwenye maji yasiyo na chanjo na changanya vizuri Kwa kifaa cha plastic. Acha maji hayo yakae kwa dakika 15-30 kisha changanya na chanjo yako. Kama utatumia maziwa ‘Skimmed Milk’ weka tone 2 kwa lita moja ya maji changanya vema na uache kwa dakika 30.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom