Habari wanajukwaa,, nauliza hatua za kuhama shule kwa 'A' level kutoka shule moja kwenda nyingine hatua gani? Huwa zinafuatwa,, naomba mwenye uelewa anijulishe
Habari wanajukwaa,, nauliza hatua za kuhama shule kwa 'A' level kutoka shule moja kwenda nyingine hatua gani? Huwa zinafuatwa,, naomba mwenye uelewa anijulishe
Kwa uwelewa wangu, nenda shule unayotaka kuhamia muulize mkuu huyo kama kuna nafasi. Nafasi ikiwepo utahamia
angalizo huwezi kuhamia kipaji kama tabora boys, mzumbe, kibaha au ilboru kama huna pass nzuri
KILA LAKHERI MKUU